JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Vyama vinataka madaraka, si kuikomboa jamii 

Na Nassoro Kitunda Ni dhahiri siasa zetu zimekuwa zinasukumwa zaidi na shauku ya kutafuta madaraka kuliko ukombozi wa jamii. Ndiyo maana ninakubaliana na Dk. Bashiru Ally aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliposema katika moja ya mihadhara…

Amwokoa mwanaye mdomoni mwa fisi

KARATU Na Bryceson Mathias Mkazi wa Kijiji cha Bassodowish kilichopo Karatu, Arusha, Paskalina Ibrahimu (36), amefanikiwa kupambana na fisi na hatimaye kumnusuru mwanaye kuuawa. Hata hivyo, pamoja na mapambano hayo, fisi alifanikiwa kunyofoa pua ya mwanaye huyo, Daniel Paskali, mwenye…

Mvutano mkali waibuka  nyongeza chanjo ya corona

Washington, Marekani Jopo la washauri wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) limekumbana na mvutano mkali wakati wa kupitisha mapendekezo ya kuanza kutolewa kwa nyongeza ya chanjo ya corona (Covid-19) kwa waliochanjwa chanjo ya aina ya Pfizer nchini Marekani….

Mambo ya msingi hayatajwi madai Katiba mpya

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mjadala kuhusu hitaji la Katiba mpya bado haujakufa miongoni mwa wananchi, wanaharakati, wasomi na wanasiasa.  Lipo kundi la wale wanaodhani sasa ni muda mwafaka kwa Tanzania kuwa nayo. Pia wapo wale wanaoamini kwamba waraka…

‘Chanjo ya UVIKO-19 ishara ya upendo kwa jirani’

Na Waandishi Wetu Nia ya uchambuzi huu ni kutoa ushauri kwa watu, hususan Wakristo, katika suala la kujikinga na Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19).  Tunajua ugonjwa huu ni hatari na umeua watu wengi duniani kwa kipindi kifupi. Ni janga…

Makamba na ‘uchungu wa mimba’ ya TANESCO

Waziri wa Nishati, January Makamba, Septemba 17, mwaka huu alizungumza na watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) jijini Dar es Salaam. Ziara hiyo, pamoja na mambo mengine, ilisukumwa zaidi na tatizo sugu la kukatika umeme nchini mara kwa mara…