JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waliofaulu vizuri wakataliwa Polisi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Vijana wanaotaka kujiunga na Jeshi la Polisi wamelalamika majina yao kuondolewa katika orodha kwa kile wanachokitaja kuwa ni baada ya kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza na la pili katika mitihani yao ya…

Lowassa amkingia kifua Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema anakerwa na baadhi ya wanasiasa wanaoeneza maneno ya chuki, kupalilia uhasama na kumtupia lawama zisizomhusu Rais Samia Suluhu Hassan. Kutokana na mwenendo huo, amewataka wajue kuwa wanashiriki…

Ugonjwa wa shinikizo la macho unaweza kusababisha upofu bila kuonyesha dalili

MBEYA NA MWANDISHI WETU Kutokana na ukosefu wa utaratibu wa watu kumuona daktari ili kuchunguzwa na kufanyiwa vipimo mapema (check-up), watu wengi hujikuta wakishindwa kugundulika matatizo yao mapema na kujikuta wakifika hospitalini katika hatua mbaya na za mwisho.  Ili kuthibitisha…

Maelfu kunufaika na uboreshaji Mto Songwe

KYELA NA MWANDISHI WETU Bonde la Mto Songwe kijiografia lipo kusini magharibi mwa Tanzania na kaskazini mwa nchi ya Malawi, likiwa na ukubwa wa kilometa za mraba 4,243. Bonde hili linajumuisha wilaya saba; kati ya hizo wilaya tano za Kyela,…

Chameleon adaiwa kutumia uchawi

TABORA Na Moshy Kiyungi Eti mmoja wa wanamuziki mashuhuri Afrika Mashariki, Jose Chameleon, hutumia nguvu za giza kujiimarisha kiutajiri na umaarufu. Tuhuma hizi nzito zinaelekezwa kwa mkali wa muziki wa ragga na raia wa Uganda, mtu wa kwanza kuzitoa akiwa…

Mkurugenzi Mtendaji MOI aikomboa Nyangao

Lindi Na Aziza Nangwa Uongozi wa Hospitali ya St. Walburg’s Nyangao mkoani Lindi umeamua kupeleka huduma za kibingwa za upasuaji wa mifupa baada ya kuona kuna changamoto kubwa ya huduma hiyo kutokana na ajali za pikipiki na mamba, JAMHURI limeambiwa….