JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Umoja wa Ulaya wavurugana

BRUSSELS, UBELGIJI Wanachama wa Jumuiya ya Ulaya wameanza kuvurugana baada ya baadhi yao kukataa kuutambua mkataba unaounda umoja huo kuwa una nguvu kuliko sheria zao za ndani. Poland ndiyo inayoongoza kupinga ukuu wa mkataba wa Jumuiya ya Ulaya dhidi ya…

Mgongano ajira Polisi

*Kauli ya Simbachawene yadaiwa kudhalilisha makonstebo DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Sifa za vijana wanaoomba ajira katika majeshi kuwa na ufaulu wa daraja la nne zimezidi kuibua mgongano wa kauli baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,…

Hatua hii ya Serikali iwe ya kudumu

Serikali imeamua kwa makusudi kuwapanga wafanyabiashara wadogo na jana ilitarajiwa kuwa siku ya mwisho kwa wafanyabiashara hao maarufu kama wamachinga wa Dar es Salaam kuondoa vibanda vyao katika maeneo yasiyo rasmi. Hii ni hatua muhimu katika utekelezaji wa maelekezo ya…

Askari wa zamani ANC mbaroni kwa kuwateka mawaziri

JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI Takriban watu 56 walikamatwa katika Hoteli ya St George katika eneo la Irene, jijini Pretoria, baada ya polisi kufanikiwa kumuokoa Waziri wa Ulinzi, Thandi Modise (pichani), naibu wake, Thabang Makwetla na Waziri katika Ofisi ya Rais, Mondli…

KUMBUKIZI YA FRANCO: Kilichotundikwa na mrefu,  mfupi hawezi kukitungua

TABORA Na Moshy Kiyungi Wahenga walinena kwamba kilichotundikwa na mrefu, mfupi hawezi kukitungua. Usemi huo ulijidhihirisha baada ya mwanamuziki nguli, Franco Luambo Luanzo Makiadi, kufariki dunia mwaka 1989. Baada ya hapo bendi yake; T.P.OK Jazz, ikatoweka katika anga la muziki…

Kutaja siku ya kifo cha Mwalimu  bila kuyaishi maono yake ni kejeli

DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga  Aprili 13, 1922, mtoto wa kiume alizaliwa kaskazini mashariki mwa Tanzania. Wazazi na ndugu zake hawakujua mtoto yule mdogo angekuja kuwa nani kwa taifa na duniani. Simulizi zinasema wazazi wake wakampa jina la Kambarage,…