JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mbrazili ametuachia Manula imara

NA MWANDISHI WETU Wiki kama mbili au tatu hivi zilizopita, mabingwa wa soka nchini, Simba Sports Club, wamelivunja benchi zima la ufundi. Wameachana na kocha mkuu, kocha wa viungo na kocha wa makipa.  Kwangu hii si stori mpya, wala hata…

Biashara Tanzania, India yadorora

KIBAHA Na Costantine Muganyizi Baada ya kuimarika na kufikia wastani wa zaidi ya dola za Marekani bilioni 2.5 mwanzoni mwa muongo huu, kiasi cha biashara kati ya Tanzania na India kimeshuka sana miaka ya hivi karibuni. Kiasi hicho cha thamani…

‘TASAF ni malaika aliyetumwa na Mungu’

MLELE Na Walter Mguluchuma Ruzuku inayotolewa na serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imewawezesha wanakaya maskini katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi kujikwamua kimaisha kwa kuanzisha shughuli za kiuchumi. Kwa miaka saba sasa TASAF imekuwa mstari…

Wananchi washirikishwe kutoa maoni miaka 60 ya Uhuru wetu

Serikali imetangaza utaratibu katika kuelekea kwenye kilele cha sherehe za miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara) ifikapo Desemba 9, mwaka huu. Tunaupongeza utaratibu wa wizara kujitokeza kuainisha mafanikio ya kisekta yaliyopatikana kwa muda wote huu wa miongo sita. …

Saida Karoli… Almasi iliyookotwa kijijini

TABORA Na Moshy Kiyungi Simulizi zinasema zamani wenyeji wa Shinyanga walikuwa wakiokota mawe yanayong’ara bila kutambua kuwa ni mali. Wazungu walipoyaona mawe hayo mara moja wakatambua kuwa ni almasi, madini yenye thamani. Inadaiwa kuwa wakaanza kuwalaghai wenyeji kwa kubadilishana mawe…

Mapinduzi ya kijeshi, ulafi wa madaraka Afrika

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Baada ya kutawaliwa kwa miaka zaidi ya 70, hatimaye nchi za Afrika zilianza kujitawala na kuunda jumuiya mbalimbali chini ya jumuiya mama, OAU na baadaye AU zenye madhumuni ya kulinda amani, umoja na…