JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Huyu Bernard Membe vipi?

DAR ES SALAAM Na Dk. Boniphace Gaganija Kwa mfululizo, matoleo mawili ya Gazeti pendwa la JAMHURI, Bernard Membe, amekuwa akiwaelezea Watanzania chuki yake dhidi ya Serikali ya Awamu ya Tano na CCM kwa kipindi hicho. Swali langu ni je, hivi…

Atatoka wapi Mzee Mayega mwingine?

DAR ES SALAAM Na Abdul Saiwaad Katikati ya miaka ya 1980, sikumbuki ilikuwa mwaka gani hasa, nilipofahamishwa kwa Paschally Boniface Mayega. Rafiki yangu aitwaye Kamugisha ndiye aliyenitambulisha.  Tulikutana Posta Mpya ambapo Mayega alikuwa akifanya kazi Idara ya Mauzo ya Simu….

MWAKA MMOJA IKULU Dk. Mwinyi anavyokataa kufukua makaburi 

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Alhamisi Oktoba 29, 2020, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), ilimtangaza Dk. Hussein Ali Mwinyi kuwa mshindi wa nafasi ya Rais wa Zanzibar, kwa ushindi wa asilimia 76.27 ya kura zilizopigwa. Akizungumza baada ya…

Urusi yageuka tishio kwa mataifa mengine 

Moscow, Russia Na Mwandishi wetu Vita ya maneno inazidi kupamba moto baina ya mataifa tajiri duniani yakigombea mipaka ya taifa la Ukraine. Hali hiyo imezuka baada ya Urusi kuzidisha vikosi vyake vya kijeshi kwenye mipaka ya taifa hilo, jambo ambalo limewaibua…

Uzembe wetu tusimsingizie Mungu

Kila mara tukiwa na mijadala ya maana, katikati hujitokeza upepo wa kutuyumbisha. Tukiwa bado kwenye mjadala wa athari za mabadiliko ya tabia nchi zilizosababisha upungufu wa maji jijini Dar es Salaam, kumeibuka mjadala mwingine wa ‘nani ni nani?’ Sikuona sababu…

Membe aibua mapya

DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Mwanasiasa Bernard Membe anasema kuna umuhimu kwa viongozi wote kufanyiwa uchunguzi wa kina ili kujua historia na taarifa zao kwa kuwa baadhi yao si Watanzania. Huu ni mfululizo wa habari zinazotokana na mahojiano maalumu…