JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bilioni 15 kusambaza umeme vitongojini Pwani

📌VITONGOJI 135 NDANI YA MAJIMBO 9 KUNUFAIKA 📌RC PWANI AMSHUKURU RAIS SAMIA Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwanni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Shilingi…

Ruto ataka dunia iwekeze kwenye nishati salama Afrika

Viongozi wa dunia wametoa wito wa uwekezaji mkubwa zaidi kwenye nishati jadidifu ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza kwenye mkutano wa kilele wa nishati jadidifu siku ya Jumanne (Septemba 24), Rais William Ruto wa Kenya alisema ulimwengu…

Serikali ya Tanzania kushiriki Kongamano la Kimataifa la Usafirishaji nchini China

Waziri wa Uchukuzi , Profesa Makame Mnyaa Mbarawa ameshiriki katika Kongamano la Kimataifa la Usafirishaji Endelevu (2024 Global Sustainable Transport Forum). Kongamano hilo ambalo limekutanisha Mawaziri na Wadau wa masuala usafiri kutoka Mataifa mbalimbali Duniani, limeandaliwa na kuratibiwa na Serikali…

Rais Samia ashuhudia usafishaji kahawa katika Kampuni ya AVIV

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika kichanja (dryer) cha kusafisha na kuanika Kahawa aina ya Arabica ya Kampuni ya AVIV Tanzania Limited tarehe 24 Septemba 2024 wakati wa ziara yake katika shamba…

Kapinga : Mkakati wa matumizi ya maji kwa kuzingatia mahitaji ya kila sekta umeleta mafanikio

📌 Ampongeza Dkt.Biteko kutoa muongozo matumizi endelevu ya maji 📌 Asema JNHPP ni kielelezo cha matumizi bora ya maji 📌 Asisitiza Taasisi za Serikali kuendelea kusimamia matumizi bora maji Imeelezwa kuwa, Mkakati wa ushirikiano uliowekwa na Wizara zinazohusika na Sekta…