JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tunapambana na corona, tumesahau ukimwi

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Dunia imekumbwa na janga la ugonjwa wa corona (Uviko -19).Ugonjwa huu wa homa kali ya mapafu uligundulika kwa mara ya kwanza Desemba 2019 katika Jiji la Wuhan, China. Ukaanza kusambaa kwa kasi katika…

Pesa taslimu zinavyoligharimu taifa

*Sh trilioni 3 hupotea kila mwaka kupitia miamala KIBAHA Na Costantine Muganyizi Katika upande huu wa dunia ambako ni watu wachache wenye uhakika wa milo mitatu kamili kwa siku, Sh bilioni 1 ni fedha nyingi sana. Na ili ufikishe Sh…

Marekani inawezaje kuwa  kiranja wa demokrasia?

Na Nizar K. Visram Desemba 9 na 10 mwaka huu, Joe Biden, Rais wa Marekani, ameitisha mkutano wa kimataifa kuhusu demokrasia.   Alizialika nchi 110 katika mkutano wa kilele uliofanyika kwa njia ya mtandao. Licha ya wakuu wa nchi, walialikwa pia…

Uhusiano na Kenya uwe wa kudumu, lakini… 

Wiki iliyopita Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wamefanya mazungumzo Ikulu ya Dar es Salaam na kufikia makubaliano kadhaa muhimu kwa wananchi wa mataifa haya jirani. Mazungumzo yao yalikamilika kwa kutiliana saini mikataba minane katika nyanja…

Mangula: Rais aungwe mkono

Akemea upotoshwaji wa masuala nyeti ya kitaifa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bara, Philip Mangula, amesema ni kawaida kwa kiongozi mahiri kuanzisha au kukamilisha miradi ya maendeleo hata iliyo nje ya ilani ya uchaguzi ya chama chake kwa…

Mnyeti kikaangoni

*Tume ya Haki za Binadamu yabainisha matumizi mabaya ya ofisi *Ashirikiana na mwindaji kuhujumu biashara za mwekezaji *Atuhumiwa kupokea ‘rushwa’ ya visima Uchaguzi Mkuu 2020 *Mwenyewe ang’aka, asema; ‘tusiongee kama wahuni, nendeni mahakamani’ DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hadhi…