JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bashe atuma salamu kwa wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima wa korosho Mtwara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe amesema hata sita kuendelea kuwafutia leseni wafanyabiashara wakubwa na wadogo wanaotumika na waleta janja janja katika ununuzi wa korosho na kunyonya wakulima. Amesema hatua ya Serikali kuwapa kipaumbele wafanyabiashara wa…

Utekelezaji miradi ya maendeleo uzingatie vipaumbele vya wananchi – Kapinga

📌 Asema wananchi wana wajibu wa kufuatilia utekelezaji wa miradi kwenye maeneo yao 📌 Aeleza umuhimu wa Sensa ya Watu na Makazi katika kuleta maendeleo Naibu Waziri wa Nishati na Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa, Mhe. Judith Kapinga amesema…

Mayele afunguka kurudi tena Yanga

Na Isri Mohamed Aliyewahi kuwa mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Mayele amesema kama itatokea akarudi kucheza kwenye Ligi Kuu ya Tanzania basi atarudi klabu ya Yanga kwani ndio nyumbani licha ya maneno maneno yaliyotokea hapo nyuma baada ya kuondoka kwake….

TAKUKURU yatoa uzoefu kimataifa

Na Aziza Nangwa Mkurugenzi mlMkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),Crispin Chalamila ,ametoa uzoefu wa namna ambavyo mfumo wa sheria na kitaasisi nchini Tanzania unaowezesha mapambano dhidi ya rushwa kufanikiwa. Mkurugenzi huyo ameyasema hayo, wakati akiwasilisha mada…

JKCI yaendelea kuishangaza dunia kwa matibabu ya kibingwa ya moyo

· Yaadhimisha siku ya moyo duniani kwa kufanya upasuaji Zambia · Yaelekea Geita kufanya uchunguzi wa moyo bure maonyesho ya madini Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeendelea kushangaza mataifa mbalimbali kwa…

Waziri Ridhiwani aongoza kampeni ya kukabiliana na afya ya akili

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete ameongoza ameongoza maadhimisho ya kampeni juu ya kukabiliana na changamoto ya afya ya akili. Shughuli za maadhimisho hayo…