JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mheshimiwa Rais tuwekeze zaidi vijijini 

DAR ES SALAAM NA DK. FELICIAN B. KILAHAMA  Ni jambo la kumshukuru Mungu aliye muweza wa yote kwa kutujalia uhai na afya njema baada ya kutimiza mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.  Akiwa Makamu wa Rais, aliapishwa…

Asante sana Dk. John Magufuli

Na Samwel Kasori CHATO Alhamisi ya Machi 17, mwaka huu ni mwaka mmoja tangu nchi yetu iondokewe na Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Joseph Magufuli. Hiki ni kipindi cha kutafakari mambo mengi, hususan jinsi Dk. Magufuli  alivyojitoa…

Ukifika Kojani, utatokwa machozi

PEMBA Na Yusuph Katimba Nenda uendako, lakini ukifika katika Kisiwa cha Kojani, kilichopo Mkoa wa Kaskazini Pemba, utastaajabu maisha yao, kama si kuugumia maumivu, basi unaweza kumwaga machozi. Ukiwa kwa mbali, fikra za haraka unaweza kudhani Kojani ni kisiwa kilichohamwa,…

Watu wasilazimishwe kulala mapema

Nianze kwa kumpongeza kiongozi wetu Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kutimiza mwaka mmoja madarakani. Mwaka mmoja ni muda mfupi, lakini kiongozi wetu amethibitisha nia yake njema ya kuwa na Tanzania yenye…

‘Sniper’ wa tembo atupwa jela

*Hukodiwa kwa Sh 300,000 kuua tembo mmoja *Ni mtaalamu wa shabaha, mkazi wa Kibiti, Pwani MARA Na Mwandishi Wetu Huku akiwa bado anatumikia kifungo cha miaka mitatu kwa kosa alilokutwa nalo mwaka 2017, Karimu Musa (40), maarufu kwa jina la…

Nani mkweli kati ya GSM, Makonda?

Na Mwandishi Wetu Mgogoro wa kugombea eneo la kiwanja namba 60 kilichopo Regent Estate, Kata ya Mikocheni, wilayani Kinondoni kati ya mfanyabiashara, Ghalib Said Mohamed (GSM) na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, unazidi kufukuta baada…