JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Urusi haiepukiki

*Mataifa yanayochimba mafuta yapuuza maagizo ya Marekani RIYADH Saud Arabia Leo ni siku ya 40 tangu Rais wa Urusi, Vladimir Putin, alipotangaza na kuanzisha kile anachokiita ‘Operesheni ya Kijeshi’ nchini Ukraine; huku jumuiya ya kimataifa ikikitafsiri kama ni uvamizi wa…

Mwelekeo mpya siasa wanukia

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu    Mapendekezo ya kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa huenda yakafanikisha kuleta mwelekeo mpya wa mwenendo wa siasa za hapa nchini. Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan…

Ofa ya Rais yapokewa tofauti

DAR ES SALAAM  Na Aziza Nangwa Kauli ya ofa iliyotolewa wiki iliyopita na Rais Samia Suluhu Hassan kwa wapangaji wa Magomeni Kota imepokewa kwa mitazamo tofauti; JAMHURI limeambiwa. Akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa nyumba za Magomeni Kota wiki…

Wanaharakati Afrika wakutana  Dakar kuizungumzia Palestina

Na Nizar K Visram (Canada) Machi 10 hadi 12, mwaka huu wanaharakati kutoka nchi za Afrika wamekutana Dakar, Senegal.  Hawa ni wawakilishi wa makundi kutoka Botswana, Cameroon, Cote d’Ivoire, DR Congo, Gambia, Ghana, Guinea-Bissau, Mauritania, Morocco, Msumbiji, Namibia, Tunisia,  Zambia,…

Serikali, TFS kuzibadili nyanda kame

*Profesa Silayo apania kurejesha uoto wa asili Kanda ya Ziwa, huku akiifanya Dodoma kuwa ya kijani MAGU Na Joe Beda Wakala wa Huduma za Misitu nchini (TFS) umedhamiria kurejesha uoto katika maeneo ya nyanda kame (dry land areas) nchini, ikiwa…

LIVERPOOL, MAN CITY:  Nani atashinda nini msimu huu?

LONDON England Yamebaki mataji matatu yanayoshindaniwa kwa sasa England; timu mbili kubwa, Liverpool na Manchester City zote zinayahitaji. Swali ni nani atashinda nini na kujiandikia historia? Kiungo wa zamani wa Liverpool, Danny Murphy, anachambua. Inaonekana kana kwamba wiki chache za…