JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Vita ya Urusi, uroho wa faida

Na Deodatus Balile Kwa muda wa wiki tatu hivi, sijapata kuandika katika safu hii. Ni kutokana na kubanwa na majukumu mengi, ambayo bila kujitoa pengine mengi yangekwama. Nimepokea simu na ujumbe kutoka kwa wasomaji wangu kadhaa wakihoji kulikoni siandiki? Naomba…

BEI YA MAFUTA… EWURA, wahariri wataka mbadala

DAR ES SALAAM Na Joe Beda Wakati kupanda kwa bei ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kukielezwa kuwa hakuepukiki, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imekubaliana na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) kwamba kuna haja…

Bandari ya Karema kuwa kitovu cha usafirishaji Ziwa Tanganyika

KATAVI Na Mwandishi Wetu Nchi inazidi kufunguka. Miradi mbalimbali imeanzishwa, inaanzishwa na itaanzishwa huku utekelezaji wa ujenzi wake ukiendelea kwa nia moja tu ya kuhakikisha uchumi wa nchi unazidi kuimarika. Miongoni mwa ujenzi wa miradi inayoendelea kutekelezwa ni ule wa…

Biden aamua ‘kudhulumu’ fedha za Afghanistan 

Na Nizar K Visram (aliyekuwa Canada) Februari 11, mwaka huu Rais wa Marekani, Joe Biden, alitoa amri ya kutaifisha dola bilioni saba za Afghanistan zilizokuwa zimewekwa Marekani kama amana katika benki kuu.  Alisema kati ya fedha hizo dola bilioni 3.5…

Nini chimbuko mabadiliko ya tabianchi?

DAR ES SALAAM Na Dk. Felician B. Kilahama Awali ya yote nichukue fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ni Alfa na Omega kwa zawadi ya uhai; si kwamba sisi ni wema kuliko waliopoteza maisha; bali ni kwa neema na rehema…

Kwaheri! Kwaheri! Profesa Ngowi

DODOMA Na Profesa Handley Mafwenga Profesa Honest Prosper Ngowi, mwanafalsafa wa uchumi uliyebarikiwa na Mungu, uliyebarikiwa na ndimi njema za wanazuoni waliopenda maandiko yako, na kupendezewa na ulimi wako uliotema ubora wa masuala ya uchumi, fedha, na biashara. Profesa usiyechoka,…