Category: MCHANGANYIKO
Bashe atoa saa 24 kwa Kampuni ya RV kulipa madeni ya wakulima
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe ametoa saa 24 kwa kampuni ya RV inayonunua mazao Masasi mkoani Lindi kulipa madeni ya wakulima huku akiagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuwashikilia viongozi wastaafu wa ushirika ambao wamehusika na…
Bashe acharuka ataka mabadiliko vyama vya ushirika
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Tandahimba Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amevitaja vyama vya ushirika nchini kubadilika ili wakulima wazidi kunufaika na ushirika huo. Bashe ametoa kauli hiyo leo Oktoba 2, mara baada ya kuzindua kiwanda cha kubangua korosho kinachosimamiwa na Chama…
Tanzania kuandaa mashindano akili mnemba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA inatarajia kuwa nchi ya kwanza Afrika kuandaa uzinduzi wa mashindano ya Akili Mnemba na roboti ya vijana wa Afrika katika kongamano la nane la Tehama litakalowakutanisha wataalamu mbalimbali wa sekta hiyo kutoka…
Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika kufanyika Oktoba 21 Dar
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika (ARGeo-C10) litakalofanyika nchini Tanzania kuanzia tarehe 21-27 Oktoba, 2024 huku washiriki zaidi ya…
Serikali yawataka wataalam wa maabara za binadamu kulinda taaluma yao
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imewataka Wataalam wa Maabara za binadamu nchini kuilinda taaluma yao kwa kuwa ina mchango mkubwa katika utoaji wa huduma za afya kwa jamii. Naibu Waziri Mkuu wa Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema hayo…
TBA kuwaondoa wadaiwa sugu 648 wanaodaiwa bilioni 14.8/- kuanzia Oktoba 7, mwaka huu
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia Dar es Salaam WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) wanatarajia kuendesha Operesheni ya kuwaondoa wadaiwa sugu 648 katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Dodoma na Mara Oktoba 7, 2024. Pia imeelezwa kwamba licha ya kuondolewa wadaiwa hao katika nyumba…