JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Vijiji vyote Mtwara vimefikiwa na umeme, sasa ni zamu ya vitongoji 150

Na Mohamed Saif, JamhuriMedia, Mtwara Baada ya kukamilisha usambazaji wa umeme katika vijiji vyote 785 Mkoani Mtwara, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa shilingi bilioni 16.7 wa kusambaza umeme kwenye vitongoji 150 utakaonufaisha kaya 4,950 mkoani…

RC Kunenge azitaka taasisi wezeshi kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wadogo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, alhaj Abubakar Kunenge ameziagiza Taasisi Wezeshi, kuwa na Ushirikiano wa karibu na kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wadogo ili kuboresha sekta ya Biashara na Uwekezaji. Aidha amezitaka Taasisi hizo zisigeuke…

Lina PG Tour yamsogeza Mollel karibu na Dubai

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Moshi Mchezaji gofu ya kulipwa Nuru Mollel ana uhakika wa kutwaa ubingwa wa michuano baada ya kushinda raundi ya nne ya michuano ya Lina PG Tour mjini Moshi. Mollel kutoka klabu ya Arusha Gymkhana amejiweka katika…

RC Kunenge awahimiza wazee Kibaha mji kumtunza na kumlinda Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaj Abubakari Kunenge amewahimiza wazee kuhakikisha kwamba wanaweka misingi mizuri na imara kwa ajili ya kuweza kumsapoti Rais wa awamu wa sita Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumlinda, kumtunza na…

Dk Yonaz : Hali ya chakula nchini inaendelea kuimarika

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Mwanza KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema hali ya lishe nchini imeendelea kuimarika kwa kwa kuzingatia Takwimu zinaonesha kupungua kwa viwango vya utapiamlo kwa…

Wawili wauawa kwa kunyongwa na kutobolewa macho Tanga

Wau wawili wameuwawa kwa kunyongwa na kamba kisha kutobolewa macho nyumbani kwao katika eneo la barabara ya nne jijini Tanga, huku baba mwenye nyumba Alii Mohamed Bagidad (60) hajulikani alipo. Watu hao wamefahamika kama Saira Ali Mohammed (50) ambaye ni…