JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Jeshi la Polisi tena

*Mwanafunzi wa Chuo Kikuu nusura afie kituoni *Adaiwa kupigwa na askari kwa zaidi ya saa nne *Ni baada ya mjomba wake kumtuhumu kumwibia zawadi ya ‘birthday’ Mwanza Na Mwandishi Wetu Miezi michache baada ya kuandikwa kwa taarifa za kifo cha…

Uongo wa Katibu Mkuu TALGWU

Asema ununuzi wa gari lake ulifuata taratibu wakati haukufuata DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) Taifa, Rashid Mtima, ametoa taarifa zisizo sahihi baada ya kukanusha kuhusu Sh bilioni 1.1…

Uchakavu waitesa Hoteli ya Bahari Beach 

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hali ya hoteli ya kitalii yenye hadhi ya nyota tano inayomilikiwa na Serikali ya Libya, Bahari Beach Ledger Plaza, ni mbaya kiasi cha kuibua migogoro ya mara kwa mara kati ya uongozi na wafanyakazi….

Israel yashitakiwa kwa mauaji ya wanahabari

Na Nizar K Visram Shireen Abu Aqleh alikuwa mwanahabari wa Kipalestina aliyeajiriwa na Shirika la Utangazaji la Al Jazeera hadi Mei 11, 2022 alipopigwa risasi na kuuawa na wanajeshi wa Israel.  Aliuawa akiwa kazini akiripoti habari za wanajeshi hao kuvamia…

Lipumba na tuzo ya Mo  Ibrahim kwa Rais Samia

MOROGORO Na Everest Mnyele Tuzo ya Mo Ibrahim ilianzishwa mwaka 2007 na bilionea wa Sudan, Mohamed ‘Mo’ Ibrahim, kupitia taasisi yake kwa madhumuni ya kuwatuza viongozi wa Afrika, hasa marais na wakuu wa serikali walioonyesha uongozi uliotukuka katika nchi zao. …

Nape: Sheria ya habari inabadilishwa mwaka huu

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema katika mwaka huu wa fedha serikali itahakikisha inakamilisha mchakato wa mabadiliko ya Sheria ya Huduma za Habari (MSA) ya Mwaka 2016. Akihitimisha michango ya wabunge…