Category: MCHANGANYIKO
Serikali ya Korea kudumisha uhusiano uliopo kati yao na Tanzania
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Korea imedhamiria kudumisha uhusiano mkubwa uliopo baina yao na Serikali ya Tanzania. Hatua hiyo imekuja wakati taifa la Korea likiazimisha sikukuu yake ya taifa ambayo imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka….
Zaidi ya asilimia 90 ya watoa huduma migodini ni Watanzania – Lwamo
– Awaasa vijana kutunza afya, kuwa waaminifu – Awataka kujiepusha na migogoro isiyo na tija Azindua mkutano wa umoja wa vijana migodini Mwandishi Wetu Zaidi ya asilimia 90 ya huduma zinazotolewa kwenye migodi ya madini nchini zinatolewa na watanzania huku…
TPA kuongeza ufanisi katika bandari zake
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Bw.Plasduce Mbossa amesema kuwa mamlaka hiyo imejipanga kufanya upanuzi wa bandari zake, ili kuweza kuendelea kutoa huduma shindani katika soko la Afrika na…
DAWASA yaanza kwa kishindo wiki ya huduma kwa wateja
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeanza Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa kuwafikia wateja wake katika maeneo mbalimbali ya kihuduma katika Mikoa ya Dar es…
CRDB yazindua Chatbot wa Kidigitali aitwae ‘Elle’
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja, Benki ya CRDB imezindua huduma mpya iitwayo ‘Elle’ ambayo ni huduma ya wateja wa kidijitali saa 24. Uzinduzi wa huduma hiyo umefanyika leo Oktoba 7, 2024…
Kesi ya ‘Afande’ yakwama, haijapangiwa hakimu
Na Isri Mohamed KESI inayomkabili ‘Afande’ Fatma Kigondo, imeahirishwa kwa maelezo kuwa bado haijapangiwa hakimu wa kuisikiliza, baada ya Hakimu Kishenyi aliyekuwa anaisikiliza awali kuhamishwa. Taarifa hiyo imetolewa na Wakili Peter Madeleka wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema…