JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mchechu aifunda NHZ ujenzi wa nyumba 

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, ameanza kutekeleza kwa vitendo maagizo ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuikaribisha sekta binafsi kushiriki kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi ili kujenga Tanzania mpya. Wiki iliyopita Mchechu…

Yasiyosemwa Ngorongoro

Ngorongoro Na Mwandihi Wetu Muda ni saa 4 asubuhi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella, Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Raymond Mangwala, wakiwa na viongozi mbalimbali wa vyombo vya ulinzi na usalama wanaelekea katika Kijiji cha Kimba kilichoko ndani…

Uchakachuaji mafuta warejea

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM Mafuta mengi kwa sasa yanauzwa bila kulipiwa kodi zote za serikali baada ya kudaiwa kuingizwa kwa njia za panya katika mikoa iliyopo mipakani na maeneo mengine ya nchi. Habari za uhakika kutoka kwa chanzo…

Ahadi za Ruto, Raila zinatekelezeka?

Mombasa Na Dukule Injeni Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC) imepitisha wagombea wanne miongoni mwa zaidi ya 50 walioomba kuwania urais kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Agosti 9, mwaka huu; ila ni wawili tu ndio wanapewa nafasi kubwa kumrithi…

Salfa mbovu ya Makonde pasua kichwa

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Nani aliruhusu Kampuni ya Makonde kusambaza viuatilifu feki aina ya salfa  kwa wakulima wa korosho Mtwara? Hili linabaki kuwa miongoni mwa maswali magumu; JAMHURI linaripoti. Japokuwa mamlaka zinamshikilia mmoja wa wakurugenzi wa Kampuni ya…

Kosa la Lissu, Kosa la Maalim Seif

LONDON Na Ezekiel Kamwaga Samuel Huntington, pengine mchambuzi mahiri zaidi wa siasa za Marekani katika karne iliyopita, alipata kuwa mhadhiri katika Chuo Kikuu mashuhuri cha Harvard nchini humo.  Mmoja wa wanafunzi wake alikuwa Fareed Zakaria na anakumbuka somo moja kubwa…