Category: MCHANGANYIKO
Asilimia 50 ya mkaa mbadala unaotumika hauna ubora
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam UTAFITI uliofanywa na Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) umebainisha kuwa asilimia 50 ya mkaa mbadala unaotumiwa katika maeneo mbalimbali hauna ubora. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa TIRDO, Profesa…
‘Mahakama ina nafasi kuboresha Sheria ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi’
Na Mary Gwera, Mahakama-Arusha Mahakama ya Rufani Tanzania inayo nafasi ya kuboresha Sheria ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kupitia Rufaa zinazokatwa na wafanyakazi ambao hawakuridhishwa na maamuzi ya Mahakama Kuu yanayohusu fidia kwa wafanyakazi wanaoumia au kupata magonjwa…
Naibu Waziri Kapinga ashiriki Jukwaa la Mawaziri nchini Afrika Kusini
📌 Lengo ni kutangaza fursa za uwekezaji kwenye Mafuta, Gesi Asilia na Nishati Mbadala Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga ameshiriki Jukwa la Mawaziri (Ministerial Symposium) nchini Afrika Kusini ikiwa ni sehemu Kongamano la Wiki ya Mafuta Afrika (Afrika Oil…
Dk Tulia, Rais wa Hungary wajadili hali ya amani duniani
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 8 Oktoba, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Hungary, Tamas Sulyok katika Ikulu ya nchi…
Tanzania ina mkakati madhubuti utakaofanikisha matumizi ya nishati safi ya kupikia – Balozi Chana
📌Atoa wito kwa Watanzania kuyaishi maono ya Rais Samia Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana amesema Serikali imeandaa mkakati madhubuti wa Nishati Safi ya Kupikia wenye lengo kuwaondoa watanzania katika adha itokanayo na matumizi ya nishati isiyo…
Ofisi ya Msajili wa Hazina yapongezwa kwa mafunzo ya watendaji wa taasisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Mipango na Uwekezaji imeipongeza Ofisi ya Msajili wa Hazina na Taasisi ya Uongozi kwa kuandaa mafunzo elekezi ya siku tatu kwa watendaji wakuu wapya wa taasisi za umma, yenye…