Category: MCHANGANYIKO
Serikali yabaini chanzo cha ugonjwa usiojulikana Lindi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Ruangwa Waziri wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu amesema kuwa upimaji wa sampuli za wagonjwa waliokuwa wakiugua ugonjwa usiojulikana katika Wilaya ya Ruangwa katika Mkoa wa Lindi umethibitisha mlipuko huu kuwa wa ugonjwa wa Leptospirosis, Field Fever kwa lugha…
Mapya yaibuka Mkuu wa Gereza
*Ni yule anayetuhumiwa kwa mauaji ya mfungwa Liwale *Adaiwa kupelekewa kitanda cha futi tano kwa sita alalie gerezani *Askari magereza walalamika kulazimishwa kumpigia saluti wakati ni mahabusu Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Liwale,…
Ukwepaji kodi uwindaji wa kitalii
*Malipo yafanywa kwenye benki za ughaibuni *Akaunti kadhaa zabainika kufunguliwa Mauritius *Tanzania yaambulia ‘kiduchu’, nyingi zaishia huko *TRA, Wizara Maliasili hawana taarifa za wizi huo DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Baadhi ya kampuni za uwindaji wa kitalii zinatuhumiwa kukwepa…
Ma-DJ warembo wanaosumbua Afrika
NA CHRISTOPHER MSEKENA Hivi karibuni wasichana wamekuwa mstari wa mbele katika kuchagiza mafanikio ya Bongo Fleva, hasa katika upande wa kuchezesha muziki kama ma-dj katika vituo vya utangazaji (redio na runinga), matamasha, klabu na kadhalika. Warembo kama DJ Fetty, DJ…
Tuzungumze, tujenge nchi pamoja
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Wakati wa harakati za kudai uhuru, viongozi wa Kiafrika waliwaunganisha wananchi kwa kuanzisha vyama vya siasa, pamoja na mambo mengine vyama hivyo vilianzishwa kwa madhumuni ya kutafuta umoja ambao ulikuwa ni silaha namba…
Rais anavyofungua milango ya uwekezaji
Dar es Salaam Na Mwalimu Samson Sombi Maendeleo makubwa ya nchi pamoja na mambo mengine hutokana na maono na msimamo wa kiongozi mkuu wa nchi. Aidha, maendeleo ya nchi huwa na hatua kuu nne ambazo ni mipango, mikakati ya utekelezaji…