JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Programu elimu mbadala yawezesha wasichana 194 kurudi shule

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kongwa Wasichana 194 waliorejeshwa shuleni kutokana na kupata ujauzito wameendelea na masomo kupitia Mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari kwa Njia Mbadala (SEQUIP-AEP) mkoani Dodoma. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Mayeka Mayeka wakati…

Kuongezeka kwa uharibifu wa mazingira, zinahitaji hatua za haraka

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kupunguza Umaskini (REPOA), Dk Donald Mmari amesema kuwa uharibifu wa mazingira umeongezeka kwa asilimia 26 katika kipindi cha miaka saba, kuanzia 2015 hadi 2022. Alisema mradi wa utafiti uliofanywa na REPOA unaonyesha kuwa…

Mfumo wa stakabadhi ghalani unaongeza ustawi wa wakulima- Dk Nchimbi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema Serikali inayoongozwa na CCM ilianzisha stakabadhi ghalani kwa makusudi ili kuwalinda wakulima dhidi ya unyonyaji na hivyo kuboresha uchumi wa wakulima na wa nchi. Alisema mfumo huo ulianzishwa…

Vyama vya siasa vyakiri 4R za Rais Samia imeleta mabadiliko makubwa kisiasa

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam VIONGOZI wa Vyama vya CUF, UDP, NCCR Mageuzi na NLD wamesema wamevutiwa na namna Serikali ya Awamu ya Sita iliyo chini ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ya mfumo wa 4R…

Waziri wa Mambo ya Nje awasili Finland kwa ziara ya kikazi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasili nchini Finland kwa ziara ya kikazi kuanzia tarehe 08 hadi 11 Oktoba 2024. Alipowasili kwenye Uwanja wa ndege jijini Helsink, Mhe. Waziri Kombo alipokewa…

Bunge la Kenya laidhinisha Gachagua kuondolewa madarakani

Hatimaye bunge limefanya uamuzi wa kumuondoa naibu wa rais wa Kenya Rigathi Gachagua kupitia kura iliopigwa. Katika kura iliopigwa kuamua hatma yake, wabunge 281 waliunga mkono hoja ya kumuondoa kiongozi huyo madarakani huku wabunge 44 wakipiga kura ya kupinga na…