Category: MCHANGANYIKO
Kila la kheri Taifa Stars
Na Isri Mohamed Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) leo saa moja usiku itashuka dimbani katika uwanja wa Stade Des Martyrs uliopo mjini Kinshasa kuumana na timu ya Taifa ya DR Congo wakiwania tiketi ya kufuzu Afcon mwaka 2025,…
Msimu wa 25 wa maonesho ya Tiba yazinduliwa rasmi Dar
Na Lookman Miraji Msimu wa 25 wa maonyesho ya tiba yamezinduliwa rasmi hapo jana jumanne ya oktoba 9 katika ukumbi wa diamond jubilee ulioko upanga, Dar es salaam. Maonyesho hayo ambayo hufanyika kila mwaka ambapo huandaliwa na kampuni expo kwa…
Waogeleaji 70 wenye mahitaji maalum kuchuana Oktoba 12
Chama cha mchezo wa kuogelea kwa waogeleaji wenye mahitaji maalumu (Tanzania Para Swimming Association/ TPSA) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanategemea kuendesha mashindano ya pili ya kitaifa ya kuibua vipaji vya waogeleaji wenye mahitaji maalumu. Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika jumamosi…
Mtoto aliyepotea msituni siku 26 apatikana akiwa hai
Na Isri Mohamed Mwanafunzi Joel Malick, wa kidato Cha pili katika Shule ya Sekondari Bagara iliyopo mkoani Manyara aliyepotea katika mlima wa Kwaraa walipokwenda kufanya utalii wa ndani pamoja na masomo kwa vitendo, amepatikana akiwa amedhoofika huku mwili ukiwa na…
Watatu waenda jela kifungo cha maisha kwa kusafirisha dawa za kulevya
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imewahukumu kifungo cha maisha jela watu watatu wakiwemo wapenzi wawili kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 129.86. Hakimu Ephery Kisanya alitoa hukumu…
Gwiji wa Man United Robson aongoza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro
Gwiji wa Manchester United, Bryan Robson, maarufu kwa jina la “Captain Marvel,” leo anaongoza kundi la wasafiri 23 katika safari ya ajabu ya kupanda mlima mrefu zaidi barani Afrika, Mlima Kilimanjaro. Safari hiyo, ambayo itashuhudia kundi hilo likikwea mita 5,895…