JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mgawo wa umeme Ludewa wapatiwa ufumbuzi

Waziri wa Nishati,Januari ametoa ufumbuzi wa changamoto ya miaka mingi ya mgawo wa umeme wa masaa 12 kwa vijiji 20 katika Wilaya ya Ludewa ambavyo vimekuwa vikipata umeme kutoka kampuni ya Madope. Kampuni hiyo ya Madope inayoendesha mradi huo mdogo…

Wahukumiwa kwenda jela miaka 150

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora Watu 5 wamehukumiwa kifungo cha miaka 150 jela baada ya kupatikana na hatia unyan’ganyi wa kutumia silaha katika eneo la Urasa kata ya Mambali wilaya ya Nzega mkoani Tabora. Akitoa hukumu hiyo jana hakimu mkazi wa Mahakama…

Jenista aiasa Tume ya Utumishi wa Umma kusimamia haki

Na Veronica Mwafisi,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama ameiasa Tume ya Utumishi wa Umma kusimamia haki wakati wa kutoa maamuzi ya mashauri ya kinidhamu ya watumishi wa umma…

Serikali yaja na mkakati wa ‘My Dustbin’

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Dkt. Selemani Jafo ameiagiza Mikoa na Halmashauri kutengeneza mikakati ya kuhakikisha masoko katika maeneo yao yanakuwa safi. Dkt. Jafo ametoa maagizo hayo leo Julai 30,2022 wakati akishiriki zoezi…

‘Tumeamua kutekeleza mradi mkubwa wa umeme Rumakali’

Waziri wa Nishati, January Makamba ameeleza kuwa, Serikali imeamua kutekeleza mradi wa umeme wa maji ya Rumakali (MW 222) wenye thamani ya shilingi Trilioni 1.4 uliopo wilayani Makete mkoani Njombe ili kuwezesha nchi kuwa na umeme wa kutosha kutoka vyanzo…

Waziri Mkenda aleza siri ya Serikali kuwekeza katika elimu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda amesema kuwa, Serikali ya Awamu ya Sita imedhamiria kwa dhati kuwekeza katika sekta ya elimu nchini ili iweze kutoa matokeo bora kwa Watanzania na mipango mbalimbali ya Serikali. Prof.Mkenda…