JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Madaktari bingwa wa Saratani bado ni changamoto nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema chama cha madaktari bingwa wa maradhi ya Saratani (TOS) kinapaswa kuhamasisha madaktari waliomaliza masomo na wanaofanya kazi kujiunga katika kusomea programu ya Saratani(oncology) ili kuweza kuondokana upungufu wa madaktari bingwa…

Majaliwa:Elimu zaidi itolewe kuhusu saratani shingo ya kizazi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri Kuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za umma na za binafsi zishirikiane na Serikali katika mapambano dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi ili kuokoa maisha ya wanawake na kuepuka madhara yatokanayo na saratani hiyo….

DC Nanyumbu apiga marufu jandao na unyago

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Nanyumbu KUTOKANA na bei ya zao la mahindi kupanda mara dufu kutoka Sh.6,000 hadi kufikia sh.14,000 kwa debe moja katika wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara,mkuu wa wilaya hiyo Zainabu Chaurembo,amepiga marufuku kufanyika kwa shughuli za jando na unyago…

‘Wizara ya Maji ina jukumu la kuhakikisha nchi inakuwa na maji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Singida WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso,amezindua jengo la ofisi kuu ya Bonde la Kati zilizopo mjini Singida na maabara za ubora wa maji na kuyataka mabonde mengine kwenda kujifunza utendaji mzuri wa kazi unaofanya na viongozi wa bonde…

Bashungwa awasimamisha kazi watumishi watano Kiteto

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kiteto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMIA), Innocent Bashungwa ameagiza watumishi watano kusimamishwa kazi na kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa tuhuma za kuisababishia hasara…

Kinana amfagilia Rais Samia anavyojituma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amemmwagia sifa Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa anayofanya ya kuleta maendeleo ya Watanzania. Kanali Mstaafu Kinana ametoa sifa hizo kwa Rais Samia…