JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ndalichako awataka vijana kuchangamkia fursa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kasulu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu, Prof.Joyce Ndalichako amewataka vijana kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali kupitia Programu ya Taifa Taifa ya Kukuza Ujuzi ili kuweza kupata ujuzi na stadi za kazi stahiki…

Balile:Kuna matumaini mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya habari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Taasisi 10 zimeandikiwa wito wa kuhudhuria mjadala wa kupitisha sheria za habari zinazolalamikiwa kuhusiana na mabadiliko ya vifungu mbalimbali vya habari ambayo wadau wanavipigia kelele kwamba, vinaminya uhuru wa habari nchini. Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa…

Mtoto ajiua baada ya baba yake kumfokea

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe JESHI la Polisi mkoani Njombe limewaomba viongozi wa makanisa na misikiti kutoa mafunzo mema ya dini kwa watoto ili kupunguza matukio ya vijana ama watoto kujichukulia sheria mkononi kwa kujiua. Akizungumza na waandishi wa habari…

Kortini kwa tuhuma za kumrubuni na kumbaka mtoto Serengeti

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Serengeti Mkazi wa Kijiji cha Nyankomogo Kata ya Rigicha, John Warioba Riana (33), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka (13). Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Wilaya ya Serengeti Jakobo…

NFRA yakabidhi maghala ya kisasa ya kuhifadhia mazao

Mradi wa kuongeza uwezo wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ili kufikia uhifadhi wa mahndi kutoka tani 251 mpaka tani laki 501 miradi mitatu ya maghala ya kisasa ya kuhifadhia mazao imekamilika na imekabidhiwa kwa NFRA tayari…