JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TAKUKURU yabaini mapungufu kwenye miradi Mwanza

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mwanza TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza imefuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo 22 yenye thamani ya Bilioni 27 katika sekta ya elimu, barabara,maji,usafi wa mazingira na afya. Hayo yamebainishwa leo Agosti 10,2022…

Rais atangaza elimu bure kwa wanafunzi wa uhandisi na tiba

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuanzia mwaka huu serikali itatoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi watakaofanya vuzuri katika mitihani ya kidato cha sita na kuchagua kusomea fani ya Uhandisi na tiba. Rais Samia ameyasema…

TEF: Tunamshukuru Rais Samia kwa kuona umuhimu wa kupitia sheria za habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu kwa kuona umuhimu wa kupitia sheria za habari na kuagiza zifanyiwe maboreshio ili kuendana na mazingira yaliyopo. Hayo…

Serikali kuwekeza katika makazi ya kuwatunza wazee

Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imekusudia kuwekeza katika Makazi ya Wazee nchini ili kuwa na miradi mbalimbali itakayozalisha mazao na kuchangia katika mapato ya Serikali. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…

Marenga:Kuna vifungu vya sheria si rafiki kwa wanahabari

Imeelezwa kuwa kuna adhabu zilizowekwa kwa makosa ambayo hayapo wazi kinyume na Ibara ya 13 (6)(C) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambacho kinachangia wadau wa habari kupiga kelele kubadilishwa kwa baadhi ya viungu vya sheria ya habari….

Rais Samia awalilia waliofariki kwa ajali Kahama

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Sophia Edward Mjema kufuatia vifo vya watu 16 vilivyotokea katika ajali ya gari. Ajali hiyo imetokea Agosti 8, 2022 katika…