JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

‘Wadau wanavyotabasamu kutembea na Rais
Samia mabadiliko sheria ya habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia IMEELEZWA kuwa wakati wa mabadiliko ya sheria zinazominya uhuru wa habari nchini ni sasa na kwamba, harakati za kudai mabadiliko ya sheria hizo ilianza siku moja baada ya sheria zilizopo sasa kusainiwa mwaka 2016 na kuanza kutumika….

Serikali yatangaza mapumziko siku ya Sensa

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Agosti 23, 2022 kuwa siku ya mapumziko. Lengo ni kuwezesha Watanzania kushiriki Sensa ya Watu na Makazi. Awali ilitangazwa kuwa siku hiyo haitakuwa aya mapumziko

TANESCO yasitisha matengenezo ya LUKU

MATENGENEZO kwenye kanzidata ya mfumo wa Luku yaliyokuwa yaanze Agosti 22 hadi 25, kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi yamesitishwa. Hatua hiyo imekuja baada ya muda mchache Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutangaza matengenezo kwenye kanzidata ya mfumo…

Rais Samia atuma salamu za rambirambi vifo vya watu 19 Mbeya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera kufuatia vifo vya watu 19 vilivyotokea katika ajali ya gari. Ajali hiyo imetokea jana saa mbili asubuhi katika eneo…

Afisa uchaguzi Kenya aliyetoweka apatikana akiwa amefariki

ALIYEKUWA msimamizi wa uchaguzi katika kituo cha kupigia kura katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, amepatikana akiwa amefariki siku chache baada ya familia yake kuripoti kuwa ametoweka, vyombo vya habari vya Kenya vinaripoti. Mwili wa Daniel Mbolu Musyoka umepatikana katika…