JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Watoto wanne wafariki kwa kuungua moto uliowashwa na mganga wa kienyeji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora JESHI la Polisi linamshikilia mganga wa kienyeji anayetuhumiwa kuwasha moto kisha kusababisha watoto wanne wa familia moja kufariki huku saba wakilazwa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo limetokea usiku…

Serikali kuendelea kumkumbuka Augustino Mrema

Waziri Mku Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kumkumbuka Augustino Lyatonga Mrema kutokana na mchango wake mkubwa wa kuendeleza mahusiano na vyama vya siasa. “Mheshimiwa Mrema atakumbukwa kama kiongozi mkuu wa Chama cha TLP kwa muda mrefu sana. Na akiwa katika…

Msako wa mifuko ya plastiki kuanza Jumatatu

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Dar MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameelekeza operesheni ya kukamata Mifuko ya plastiki iliyokatazwa kuanza rasmi Jumatatu ya August 29 kwenye Masoko yote ya Mkoa huo. RC Makalla ametoa maelekezo hayo wakati wa kikao…

Ashikiliwa kwa tuhumza za kumbaka mtoto ndani ya gari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Jeshi la Polisi mkoani Katavi linamshikilia Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Mpimbwe Dickson Mwenda (37) kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 15 mkazi wa Kibaoni. Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Ali Makame…