JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali kutoa mikopo kwa wavuvi na wakuzaji viumbe maji

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amesema kuwa serikali imeandaa mpango wa kuwawezesha wavuvi na wakuzaji viumbe maji kwa kuwapatia mitaji ili waweze kuboresha shughuli zao Hayo ameyasea leo Agosti 30,2022 wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa utekelezaji…

TCRA:Sensa ya mwaka huu itaonyesha shughuli mbalimbali za kijamii

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya mawalisiano Tanzania (TCRA),Dkt Jabir Bakari amesema kwamba Sensa ya mwaka huu itaonesha shughuli za biashara ambazo awali zilikuwa hazijulikani na Mamlaka ya Mawasiliano,TCRA. Ametoa kauli hiyo jana alipokuwa akizungumza katika kikao cha…

Japan yatoa dola bilioni 30 kusaidia nchi za Afrika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia SERIKALI ya Japan imetangaza kutoa kiasi cha Dola za Marekani bilioni 30 katika kipindi cha miaka mitatu (2022 – 2025) kwa Nchi za Bara la Afrika ili kuziwezesha kutekeleza programu na miradi ya maendeleo itakayoleta mageuzi ya…

Mzee Kusila atakumbukwa kwa mengi

Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu George Simbachawene amesema Mzee William Kusila alipenda kuona viongozi wanazingatia miiko, na kuishi kwa kuwa mfano mwema kwa jamii. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu…