JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

IGP Wambura awataka askari kutenda haki

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kilimanjaro Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura amewataka askari wa Jeshi hilo kuzingatia uadilifu na kutenda haki wakati wanapo wahudumia wananchi kwa kufanya kazi kwa weledi ili kufikia malengo ya kulinda watu na mali zao….

Naibu IGP Balozi Dkt.Abdulrahamani Kaniki asisitiza uadilifu

Aliyekuwa Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Balozi Dkt Abdulrahamani Kaniki amelitaka Jeshi la Polisi kuendelea kuwa waadilifu kwa kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za nchi na kwa mujibu wa wakanuni mbalimbali zinazoliongoza Jeshi…

Kunenge:Tushirikiane kusaidia wenye mahitaji ya viungo bandia

Mkuu wa mkoa wa Pwani ,Abubakari Kunenge amewataka wadau na wale wenye uwezo wa kusaidia watu wenye ulemavu wenye mahitaji ya viungo bandia,kuwawezesha ili waweze kuendelea na shughuli zao. Ameyasema hayo Mjini Kibaha wakati wa ufunguzi wa Desire Charitable Hospital…

Msajili vyama vya wafanyakazi aitaka JOWUTA kuongeza kasi ya usajili

MSAJILI wa Vyama vya Wafanyakazi nchini Pendo Berege, amekitaka Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Tanzania (JOWUTA), kuongeza kasi ya usajili wa wanachama kama Sheria na Katiba ya inavyotaka. Msajili Berege ametoa maelekezo hayo leo Agosti 31/2022 baada ya kutembelea…