JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TPA yatekeleza agizo la Majaliwa

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imeikabidhi Kampuni ya Huduma za Meli nchini (MSCL) meli tatu zinazotoa huduma katika Ziwa Nyasa ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa lengo la kuziweka meli hizo katika usimamizi…

‘Waziri Nape sema neno bungeni Mabadiliko ya sheria ya Habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Wadau wa habari wanasubiri kwa hamu kubwa kuona Serikali ikitimiza ahadi yake ya kuwasilisha Mapendekezo ya Mabadiliko ya Sheria ya Habari bungeni ili kusaidia kupunguza changamoto wanazokabiliwa nazo sekta ya habari. Akifungua mkutano wa wadau wa…

Kaya zilizohesabiwa nchini zafikia asilimia 99.99

Kamisaa wa Sensa ya watu na Makazi Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 06 Septemba 2022 Jijini Dodoma. Amesema kiwango cha kaya zikizohesabiwa nchi nzima limefikia asilimia 99.99 na limehitimishwa rasmi. Kwa upande wa Sensa ya Majengo,…

Serikali kuja na mapendekezo ya sheria mpya ya usimamizi wa maafa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imeandaa mapendekezo ya kutungwa kwa sheria mpya ya usimamizi wa maafa ili kuweka mfumo wa udhibiti na uratibu wa maafa kwa ajili ya hatua za kuzuia na kupunguza madhara ya majanga, kujiandaa kukabili na kurejesha hali…

Mabula: Msifanye kazi kwa mazoea,mnaharibu utendajikazi wenu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula amemuelekeza Katibu wa Wizara hiyo kuhakikisha anaanza kuchukua hatua mara moja kwa Makamishna wasaidizi wa ardhi wale walioshindwa kukidhi matarajio pamoja na wasaidizi wao. Aliyasema hayo…

‘Tumieni vema msamaha kusalimisha
silaha mnazomiliki kinyume cha sheria’

Na A/INSP Frank Lukwaro,JamhuriMedia,Dodoma Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini amewataka wananchi wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kutumia vyema msamaha uliotolewa na Serikali wa kipindi cha miezi miwili kusalimisha silaha haramu kwa hiari katika vituo vya…