JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mifugo vamizi changamoto ya uhifadhi nchini

Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA),tarehe 14 Septemba 2022 imefanya ziara ya kutembelea Hifadhi ya Taifa Ruaha mkoani Iringa kujionea athari za uvamizi wa mifugo katika eneo la Bonde la Ihefu . Katika ziara hiyo,…

Askari 300 wamwagwa Dar kupambana na ‘Panya Road’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar ASKARI 300 wameongezwa katika Mkoa wa Dar es Salaam kwa ajili ya kuimarisha msako wa kuwatafuta na kuwakama wahalifu maarufu kwa jina la ‘Panya Road’. Hayo yamebainisha leo Septemba 15, 2022 na Mkuu wa Mkoa wa Dar…

Mke ajinyonga baada ya mumewe kumtuhumu kuiba 10,000/-

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia Asia Kibishe (27),mkazi wa Kijiji cha Nyarututu,wilayani wilayani Chato Mkoa wa Geita amejinyonga kwa kipande cha kanga kwa madai mumewe Fabian Shija (23) Mkazi wa Nyarututu,kumtuhumu kuiba sh,10,000. Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi, Septemba 15,…

Mabula ataka mpango wa matumizi ya ardhi mradi wa maji Butimba

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mwanza Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula ametoa wito kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kuweka mpango wa matumizi ya ardhi katika eneo la Mradi wa wa Chanzo na Kituo…

Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua mkewe aliyemnyima ‘unyumba’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Katavi imehukumu Titus Malambwa (28), mkazi wa Kijiji cha Ntibili Mpimbwe Wilaya ya Mlele, Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mke wake kwa makusudi wakati wakiwa…

TALGWU:Tozo za mara mbili kwa mfanyakazi ni mzigo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU), kimesema kuwa wafayakazi watulie kuhusiana na tozo za miamala ya benki kwani wamefikisha maombi serikalini kufanya mabadiliko ya sheria ya tozo ili kuepuka malipo ya mara mbili kwenye…