JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Hakimu aeleza kwanini Fatma Kigondo ‘Afande’ kutoshtakiwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imekataa ombi la kusaini malalamiko yaliyotolewa na Paul Kisabo dhidi ya Fatma Kigondo, maarufu kama Afande, baada ya kubaini kasoro kadhaa katika malalamiko hayo. Uamuzi huu ulitolewa jana na unamaanisha…

SADC lamuunga mkono Rais wa IPU Dk Tulia

JUKWAA la Wabunge wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) limemuunga mkono Rais wa Umoja wa Mabunge ya Muungano (IPU), Dk Tulia Ackson kufuatia mijadala ya hivi karibuni kuhusu mkutano wake na Rais wa Urusi.Jukwaa la Wabunge, Roger Mancienne,…

Saccos ya Tume ya Madini yapata hati ya kuridhisha

COASCO yawafunda wanachama Na Vicky Kimaro, Dodoma TUME ya Madini Saccos imepata hati inayoridhisha katika ukaguzi wa Hesabu za Chama zinazoishia Desemba 31, 2023 baada ya kufanyiwa ukaguzi na Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) Tanzania…

Wabunge wa EALA watakiwa kuweka maslahi ya umma mbele – Balozi Kombo

Wabunge wa Tanzania kwenye Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki wamesisitizwa kuyabeba majukumu waliyopewa kwa uzito unaostahili, huku wakiweka mbele maslahi ya umma wakati wanatekeleza majukumu yao. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika…

Balozi Nchimbi ajiandikisha kupiga kura Serikali za Mitaa, atoa wito watu kujitokeza kwa wingi

Na Mwandishi Maalum, Dodoma Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amejiandikisha kwenye daftari la wakazi katika mtaa wake, eneo la Kilimani, jijini Dodoma leo tarehe 18, Oktoba 2024. Akizungumza baada ya kujiandikisha, Balozi Nchimbi…

Kampeni ya ‘Tuwaambie Kabla Hawajaharibiwa’ yazinduliwa

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed leo amezindua kampeni ya ‘Tuwaambie Kabla Hawajaharibiwa” yenye lengo la kuwaelimisha jamii kuhusu maswala ya ukatili wa kijinsia pamoja na kutoa taarifa kuhusu vitendo vya uhalifu…