Category: MCHANGANYIKO
Takribani watoto 800 hugundulika kuwa na saratani kila mwaka
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo Septemba 23,2022 ameweka wazi kuwa, kila mwaka takriban watoto 800 hugundulika kuwa na ugonjwa wa Saratani nchini Tanzania hivyo kuchangia ongezeko la vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Waziri Ummy amesema hayo katika kikao na…
Vita ya madaraka PSSSF
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mtifuano mkali unaotajwa kuwa na viashiria vya kunyemelea madaraka unaendelea ndani ya Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), ambapo kundi la wafanyakazi waliohamishwa baada ya mifuko kuunganishwa wamefikisha malalamiko kwenye Baraza la Tume ya Maadili…
Rais Samia amlilia Balozi Paul Rupia
Balozi Rupia (86) amefariki leo asubuhi nchini Afrika Kusini ambapo amewahi kushika nyadhifa mbalimbali kama ofisa katika Wizara ya Mambo ya Nje katika nchi mbalimbali. Pia, aliwahi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa…
Wanne wahukumiwa kunyongwa kwa kuwaua Polisi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora Mahakama ya Kuu Kanda ya Tabora imewahukumu watu wanne kunyongwa hadi kufa kwa tuhuma za kuwaua askari wawili wa Jeshi la Polisi wa kituo cha Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora. Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi wa…