JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mchungaji Mbeya auawa kwa tuhuma za ushirikina

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Wananchi wenye hasira katika Kata ya Ilemi jijini Mbeya wamemuua kwa kumpiga hadi kufa, mchungaji Golden Ngumbuke (66) wa Kanisa la Pentecostal Evangelical Fellowship Africa (PEFA), wakimtuhumu kuhusika na kifo cha jirani yake, Katekista Fadhili…

Saba wafariki, wengine 15 wajeruhiwa Mufindi

Watu saba wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali ya barabarani iliyohusisha gari la wagonjwa lenye namba za usajili STM 7840 na pikipiki ya magurumu matatu ya kubeba mizigo wilayani Mufindi mkoani Iringa. Mkuu wa Wilaya ya…

Marekani yatishia kujiondoa mazungumzo ya amani ya Ukraine

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema Marekani “itaachana” na kujiondoa kwenye mazungumzo upatanishi kati ya Urusi na Ukraine ikiwa Moscow au Kyiv “itayafanya kuwa ngumu zaidi” kufikia makubaliano ya amani. Rais huyo wa Marekani aliwaambia waandishi wa habari katika Ofisi…

Mashindano ya kwanza ya mbio za roboti duniani zinazofanana na binadamu zafanyika China

Kwa mara ya kwanza duniani, China iliandaa nusu-marathon ya roboti zinazofanana na binadamu mjini Beijing siku ya Jumamosi. Katika tukio hili la kihistoria, roboti na binadamu walikimbia katika njia moja lakini kwa nyuso tofauti, ikiwa ni mara ya kwanza kushuhudiwa…

Hashim Lundenga, mratibu wa zamani wa Miss Tanzania afariki dunia

Tasnia ya urembo nchini imepata pigo kubwa kufuatia kifo cha Hashim Lundenga, maarufu kama “Uncle Hashim”, aliyefariki dunia leo jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa kipindi kirefu. Lundenga alikuwa mwanzilishi na Mkurugenzi wa Lino International Agency, kampuni iliyosimamia…

Watu 12,000 wahofiwa kuugua ugonjwa wa Himofilia nchini Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar TAKWIMU zinaonyesha kati ya watu 6,000 hadi elfu 12,000 wanahofiwa kuugua ugonjwa wa himofilia nchini huku idadi ya watu waliogundulika kuwa na ugonjwa huo hadi sasa wakiwa ni 451 pekee. Hayo yalisemwa na Waziri wa…