Category: MCHANGANYIKO
Serikali ya Tanzania uhifadhi wa mifumo ya ikolojoa katika hifadhi ndio kipaumbele – Profesa Male
Na Mwandishi Wetu,New York Marekani. Katibu Mtendaji wa Tume ya UNESCO Tanzania Profesa Hamisi M. Malebo amesema Serikali ya Tanzania imeweka kipaumbele katika kulinda mifumo ya uhifadhi wa ikolojia iliyomo katika ardhi ya Tanzania. Prof Malebo amesema pamoja na ukweli…
Mapinduzi ya nishati vijijini na mchango wake katika maendeleo Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani “Kwa miaka mingi tuliteseka na vibatari na chemli, tukishindwa kufikiria maisha bor, lakini kufikia 2018/2019, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilitukomboa,” anasema Asiah Hussein, mkazi wa kijiji cha Mbwidu, kata ya Ubena,Jimbo la…
Dk Biteko akaribisha wawekezaji sekta ya nishati
📌 Ataja Mikakati ya Serikali Kuimarisha Sekta ya Nishati 📌 Aeleza Namna Tanzania Inavyojiandaa Kuuza Umeme nchi Jirani na Uwepo wa Soko la Uhakika 📌 Asema Ushiriki wa Sekta Binafsi ni Muhimu kwa Maendeleo ya Nchi 📌 Ashiriki Wiki ya…
Mchechu achangisha milioni 117/- ujenzi wa Kanisa Naibili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro KIONGOZI anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya nyumba, benki, na biashara, Nehemiah Mchechu ameendesha harambe iliyowezesha kuchangisha Sh117.8 milioni kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa…
Kongamano la kimataifa la vijana kuanza kesho Arusha
Na Zulfa Mfinanga, Jamhuri Media,Arusha. Mkutano wa nne wa Kimataifa wa Vijana na Utawala wa Ardhi barani Afrika (CIGOFA4) unatarajiwa kufanyika kwa siku nne kuanzia kesho jijini Arusha wenye lengo la kuharakisha haki za vijana katika ardhi. Mkutano huo ulioandaliwa…
Muigizaji Pembe afariki dunia
Na Isri Mohamed Muigizaji Mkongwe wa Vichekesho Nchini, Yusuph Kaimu maarufu kama Pembe Amefariki dunia Katika Hospitali ya Temeke Jijini Dar es Salaam, Jioni ya Leo Oktoba 20, 2024. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Katibu wa chama Cha Waigizaji…