Category: MCHANGANYIKO
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WATUMISHI Housing Investment (WHI) imetunukiwa tuzo ya ‘Nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika’ iliyotolewa na Taasisi ya Mikopo ya Nyumba Afrika inayotambuliwa na Umoja wa Afrika. Tuzo hiyo imetolewa katika mkutano Mkuu wa…
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limesema hadi sasa watu 90,000 wamesajiliwa kwenye Kazidata ya Programu Maalum ya Imarisha Uchumi na Mama Samia (IMASA) yenye lengo la kuinua uchumi wa Watanzania…
Geita yaupokea mradi wa bilioni 17 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105
β β³οΈWateja 3,465 watanufaika na Mradi huo Mkuu wa mkoa wa Geita, Mhe. Martine Shigela, leo jioni, tarehe 22 Oktoba, 2024 amempokea rasmi, mkandarasi, kampuni ya CCC (Beijing) Industrial and Commercial Ltd; kampuni kutoka China, iliyoshinda kandarasi ya Mradi wa Kusambaza…
Kongamano la ARGe0-C10 kuongeza kasi uendelezaji jotoardhi Afrika Dk Mataragio
π Asema hazina ya Jotoardhi bado haijatumika ipasavyo Afrika π Aeleza juhudi za Tanzania kuendeleza vyanzo vya Jotoardhi π Ahitimisha Mafunzo ya Jotoardhi kwa Washiriki Kongamano la ARGeo-C10 π Wahitimu wataja falsafa ya ujamaa kuendeleza Jotoardhi Naibu Katibu Mkuu wa…
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri Ofisi ya Raisi Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amepongeza uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa na kampuni ya kimataifa ya uwekezaji ya DP World katika bandari ya Dar Es Salaam na kuangalia ni namna…
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia,Dar es Salaam Foundation for Civil Society (FCS) na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA CCC) wamesainiana Mkataba wa Makubaliano (MoU) wa miaka mitatu ili kuimarisha ulinzi wa walaji na haki zao…