JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

UWT wampa kongole Rais Mwinyi kuchaguliwa Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar

Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 16 Januari 2023 amekutana na Viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Ikulu Zanzibar. Uongozi wa Jumuiya hiyo ukiongozwa na Mwenyekiti wa…

Hospitali ya Wilaya ya Itilima yaanza kutoa huduma za uapasuji

Hospitali ya Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu imeanza kutoa huduma za upasuaji kwa wakinamama wanaopata uchungu pingamizi. Mganga mkuu wa Wilaya Dk. Anold Musiba amesema huduma hiyo imeanza kutolewa kwa akina mama wajawazito wanaopata changamoto ya kushindwa kujifungua kwa njia…

Kwa Simba hii maji mtayaita mma

Na Mwandishi wetu. Wakala wa Djuma Shaaban na Yanick Bangala ameshusha chuma kingine Tanzania. Straika mcongo, Jean Baleke Othos (21), yupo chini ya menejimenti ya  faustyworld ambaye ni wakala wa Djuma Shaaban, Yanick Bangala wa Yanga na Ben Malango.  Ujio…

Marekani kuwapa fursa vijana wa Kitanzania wenye vipaji

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul leo Januari 13, 2022 jijini Dar es Salam, ameongoza kikao kati ya Wizara hiyo na Wadau wa Diaspora kutoka nchini Marekani kupitia asasi ya Global Youth Support Center, kujadili nia ya…

Serikali yawahakikishia wawekezaji ulinzi na usalama

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amewahakikishia Wafanyabiashara na wawekezaji kuwa Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuweka mazingira Bora ya biashara pamoja na kutatua changamoto za Wafanyabiashara. RC Makalla amesema hayo wakati wa ufunguzi…