JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

NHC yalipa kodi bil.22.0/-, gawio kwa serikali la mil.750/-

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), limesema limelipa kodi mbalimbali inayofikia takriban shilingi bilioni 22.0 kwa mwaka 2021/2022 pia limelipa gawio Serikali la sh.milioni 750 kwa mwaka 2021/2022. Shirika limekuwa likichangia kila mwaka gawio la Serikali na…

Mpango afanya mazungumzo na waandishi wa kitabu cha uongozi wa Rais Samia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa viongozi wa vyuo hapa nchini kuchukulia kwa umuhimu jukumu la kuandika na kuielezea vema Tanzania katika vitabu kwa maslahi ya taifa. Makamu wa Rais…

Nyerere:Kila mwananchi anatakiwa kupanda mti na kuutunza

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere amewataka wakuu wa wilaya, wakurugenzi pamoja na wakuu wa idara za mazingira kila mmoja kuhakikisha miti inapandwa kama muongozo unavyoelekeza. Hayo ameyasema wakati wa uzinduzi wa zoezi la upandaji miti mkoani hapa na…

Wizara ya Afya yawachukulia hatua watumishi

Serikali imewachukulia hatua watumishi wa wawili wa afya ambao video yao ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha watumishi hao wakijibizana kuhusu matumizi ya vifaa (vitendanishi) vya kupimia malaria vilivyoisha muda wake wa matumizi. Watumishi hao Rose Shirima ambaye ni mkunga…

CHADEMA: Sheria iliyopo inafifisha uhuru wa vyombo vya habari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),kimesema sheria iliyopo inafifisha uhuru wa vyombo vya habari katika kutekeleza majukumu yao hasa katika kipindi hiki ambacho mikutano ya hadhara imeruhusiwa, jambo ambalo litawanyima fursa ya kutekeleza majukumu yao. Hayo yamebainishwa…