JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mamlaka ya Viwanja vya ndege (TAA) yatolea ufafanuzi taarifa za ajali ya ndege Mwanza

Kufuatia video fupi kusambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii ikionyesha kutokea kwa ajali ya ndege iliyodaiwa kuzama katika Ziwa Victoria leo Februari 23, 2023 Mkrugenzi wa Mamalaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) Mussa Mbura amekanusha taarifa hizo na kusema kuwa…

Walengwa wa TASAF wahimizwa kuchangia asilimia 10 kuwezesha ukamilishaji miundombinu

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi amewataka walengwa wa TASAF Wilayani Makete kuchangia nguvu kazi yao ya asilimia 10 ili kuwezesha ukamilishaji wa miradi ya TASAF ya ujenzi wa miundombinu kwa…

Serikali yadhamiria kupunguza tataizo la umeme Pwani

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani alhaj Abubakari Kunenge, amepokea transforma kubwa sita katika mradi wa kituo cha kupoza na kupokea umeme cha Chalinze ,zenye uwezo wa megavoti 250 kwa gharama ya Bilioni 7.5 kila moja. Kuwasili kwa…

Serikali kufanya maboresho uwanja wa Mkapa

Serikali imeahidi kufanya marekebisho makubwa yanayohitajika katika uwanja wa Benjamin Mkapa ili kukidhi viwango vya kimataifa vinavyohitajika katika michuano ya Africa Super League ambayo Klabu ya Simba ndio mwakalishi wa ukanda wa Afrika Mashariki. Hayo yamesemwa Februari 16, 2023 jijini…