JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Urusi, Ukraine wabadilishana wafungwa wa kivita zaidi ya 200

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amethibitisha kuachiliwa kwa wafungwa wa kivita kama sehemu ya makubaliano kati ya Ukraine na Urusi. Makubaliano hayo yalifanikisha kiasi cha wanajeshi 200 waliokuwa wakishikiliwa katika pande zote za mzozo kurejeshwa kwenye mataifa yao. Rais Zelensky…

Majaliwa:Serikali yatoa trilioni 8.64/- kuendeleza miradi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema takribani shilingi trilioni 8.64 zimetolewa na Serikali kwa ajili ya kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo itakayoimarisha uchumi wa nchi na maendeleo ya watu hadi kufikia Januari, 2023. Majaliwa ametaja miradi hiyo saba kuwa ni ya…

RC Ruvuma awatahadharisha wanafunzi kuacha kupokea zawadi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas, amewatahadharisha wanafunzi kuacha tabia ya kupokea zawadi kutoka kwa watu wasiowajua ili kuepuka kufanyiwa vitendo vya kikatili. Kanali Thomas ametoa tahadhari hiyo wakati anazungumza na wanafunzi wa…

Nape: Serikali kuzifanyiakazi
sheria za habari zenye kasoro

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Morogoro Waziri wa habari, Mawasiliono na Teknolojia ya habari Nape Nnauye amesema kuwa dhamira ya Serikali ni kuimarisha sekta ya habari ikiwa ni pamoja na kuzipitia sheria zinazolalamikiwa na wadau ikiwemo sheria ya huduma za habari namba 12…

Rais Samia:Vyombo vya habari vifanye kazi bila woga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ametoa salamu za Rais Samia Suluhu Hassan akivitaka vyombo mbalimbali vya habari Tanzania kufanya kazi kitaaluma bila woga, upendeleo na uonevu. Waziri Nape ametoa salamu…