JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Biteko ahimiza upendo, amani na ushirikiano Sengerema

📌Asisitiza wananchi kushiriki Uchaguzi Wa Serikali za Mitaa kwa amani 📌 Asema Sengerema inahitaji maendeleo na si maneno Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amehimiza…

JOWUTA yataka sheria za kazi kuwalinda wafanyakazi katika vyombo vya habari

UTPC yaomba serikali kuingilia kati Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Singida Chama cha Wafanyakazi katika vyombo vya habari nchini (JOWUTA) kimetaka Serikali kusimamia sheria za kazi kwa wafanyakazi katika vyombo vya habari kama zilivyo sekta nyingine ili waandishi wapate haki na stahiki…

Serikali imetekeleza miradi mingi sekta ya afumya – Dk Biteko

📌 Azindua Jengo la Kisasa la Upasuaji Sengerema DDH na Mradi wa Umeme wa Jua 📌 Ahimiza wananchi kutunza miundombinu ya hospitali 📌Ataja mageuzi makubwa yaliyofanywa katika sekta ya afya 📌 Alipongeza Kanisa Katoliki, awashukuru wafadhili wa miradi Na Ofisi…

Chatanda azindua Umoja wa Wanawake Wafanya biashara wa Masoko Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa UWT-Taifa Mary Chatanda amezindua Umoja wa Wanawake Wafanya biashara Mosoko yote Jijini Dodoma (UWAWAMA) huku akiwataka wanawake hao kuachana na mikopo yenye masharti magumu inayochangia kuanguka kiuchumi. Pamoja na Mambo mengine uzinduzi huo umehudhuriwa na…

ACT -Wazalendo walia wagombea wao kunyimwa fomu za kuwania uongozi wa Serikali za Mitaa

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es Salaam CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema wagombea wa vyama vya upinzani katika maeneo mengi nchini wamekuwa wakinyimwa fomu za kuwania uongozi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, mwaka huu. Hayo yamebainishwa mwishoni jana na Makamu…

Kunenge : Pwani kusimami maono ya Rais Samia kuvutia wawekezaji kwa wingi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameeleza mkoa huo utaendelea kusimamia maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha unavutia wawekezaji kwa wingi. Akizungumza wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dar…