Category: MCHANGANYIKO
Waziri Kombo atembelea maonesho ya kimataifa ya Biashara CUBA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo tarehe 05 Novemba, 2024 ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea jijini Havana. Maonesho hayo yamewakutanisha wafanyabiashara wa ndani na Kimataifa ambao wanatangaza huduma na bidhaa zao…
Chande azindua misheni ya uangalizi wa Uchaguzi ya SEOM jijini Port – Louis
Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya SADC (SEOM) katika Uchaguzi Mkuu wa Mauritius Jaji Mkuu (Mstaafu) Mohammed Chande Othman, amezinduamisheni hiyo jijini Port-Louis, Mauritius, kwa niaba ya Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC na…
Uraia pacha ni hatari kwa usalama wa taifa letu
Na John Haule, JamhuriMedia, Arusha Wengi tuliofika elimu ya sekondari tumejifunza kwa kiasi maana ya uraia na dhana ya uraia pacha( dual citizenship) na katika nchi yetu Tanzania uraia wa Tanzania unasimamiwa na sheria ya mwaka 1995 sura namba 357…
Benjamin Netanyahu amfuta kazi Yoav Gallant, Waziri wa Ulinzi
Katika hatua iliyoibua gumzo kubwa, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ametangaza mabadiliko makubwa serikalini kwa kumfuta kazi Waziri wa Ulinzi, Yoav Gallant, na kumteua Israel Katz kuchukua nafasi hiyo. Hatua hii inakuja katikati ya mzozo unaoendelea Gaza, ambapo Netanyahu…
AAT kushirikiana na kikosi cha usalama barabarani kutoa elimu kwa wanafunzi
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam Elimu ya Usalama barabarani haina hudi kuwa ya lazima kutolewa kwa wanafunzi na ianzie ngazi ya chini yaani shule ya msingi ili kusaidia watoto kuondokana na changamoto ya ajali zinaweza kuwatokea wanapotoka majumbani kuelekea shuleni…
Miaka 60 ya Tanzania na China ni zaidi ya diplomasia
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Safari ya mahusiano kati ya mataifa mawili ya Tanzania na China imezidi kuvuka mipaka ya kidiplomasia hadi kufikia katika ngazi za juu zaidi ya uhusiano. Nchi hizo mbili ziko katika maadhimisho ya kusheherekea…