Category: MCHANGANYIKO
Tanzania, China zasisitiza kukuza ushirikiano
Serikali ya Tanzania na China zimesisitiza kuongeza ushirikiano wa kimaendeleo kupitia ziara mbalimbali zinazofanywa na viongozi wa juu wa pande zote mbili ili kuimarisha ushirikiano wa kihistoria na kidiplomasia ulioasisiwa na waasisi wa mataifa hayo, Baba wa Taifa Hayati, Mwl….
Waziri Chana aipa tano TTB kutangaza vivutio vya utalii
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) ameipongeza Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwa jitihada za kutangaza vivutio vya utalii nchini huku akisisitiza kuwa hayo ndio maono ya Rais wa Jamhuri…
Serikali kupitia Wizara ya Fedha yajivunia mchango unaotolewa na ITA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Fedha imesema inajivunia mchango unaotolewa na Chuo cha Kodi (ITA) katika kutoa mafunzo ya Forodha na kodi kwa watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA )na watanzania kwa ujumla…
ACT waahidi kufanikisha huduma ya maji Warumba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, ameongoza kampeni za chama hicho Ijumaa, Novemba 22, 2024, akimnadi mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa kijiji cha Warumba, Abdulkarim Abbas, katika Kata ya Songwe, Jimbo la Mbarali,…
CCM yasaka ushindi wa kishindo Mbogwe
📌 Dkt Biteko Asema CCM inaeleza joja, wengine maneno 📌 Dkt. Biteko awataka wananchi kuchagua viongozi watakaotatua shida zao 📌 Mbogwe yapiga hatua kimaendeleo 📌 Dkt. Biteko asema uchaguzi ni mipango na CCM imejipanga Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri…