Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu: Serikali kuendeleza mabonde nchini
…………………………. Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa maji na nishati ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na mafuriko. Amesema moja ya mkakati uliochukuliwa na Serikali…
Lissu agoma kesi kusikilizwa kwa mtandao, viongozi CHADEMA wakamatwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kesi ya inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amegoma kusikilizwa kwa njia ya mtandao. Ulinzi mkali umeimarishwa katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, hususani katika eneo la…
Serikaki Kibaha kuunga mkono wawekezaji wa ufugaji nyuki
Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Serikali wilayani Kibaha, mkoani Pwani, imeeleza dhamira yake ya dhati ya kuunga mkono juhudi za wawekezaji katika sekta ya ufugaji nyuki ili kuhakikisha wafugaji wadogo waliopo vijijini wananufaika kiuchumi na kielimu. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu…
Bungeni hakukaliki
*Wabunge wacharuka chama kufanya mabadiliko, uamuzi mzito bila kuwashirikisha *Wawaambia ‘wakubwa’ Makao Makuu: Kama hamtutaki au mmetuchoka mtueleze tujue moja *Spika, ‘Chief Whip’ wakumbwa na hofu kuwapo uwezekano wa bajeti kadhaa kukwama *Rais Samia aingilia kati, azungumza na Dk. Nchimbi…
Maelfu kuendelea kutoa heshima za mwisho kwa Papa Francis
Dunia inaendelea kuomboleza kifo cha kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, aliyeaga dunia Jumatatu wiki hii akiwa na umri wa miaka 88, baada ya kuugua kwa muda mrefu. Dunia inaendelea kuomboleza kifo cha kiongozi wa Kanisa Katoliki dunianiPapa Francis,…
Balozi Nchimbi azungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu Mara
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Mara, kwenye kikao cha ndani kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Mara, leo Jumatano tarehe…