JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mtume Mwamposa, NSSF na Leopard Tour wakabidhi pikipiki 60 kwa Polisi Arusha

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Mtume Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise and Shine (Inuka Uangaze),Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii NSSF pamoja na Mfanyabiashara na Mmiliki wa Kampuni ya Utalii ya Leopard Tour wametoa Pikipiki 60 kwa Jeshi…

Serikali yatangaza mpango wa utoaji chanjo na utambuzi wa mifugo kitaifa kuanzia Januari 2025

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amesema Serikali itaanza Mpango wa Utoaji wa Chanjo na utambuzi wa Mifugo Kitaifa kuanzia Mwezi Januari 2025 ambapo Shilingi Bilioni 28.1 zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza mpango…

Vijana watakiwa kushiriki kikamilifu katika uhakiki wa Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira, na wenye ulemavu) Ridhiwan Kikwete amewata Vijana kushiriki kikamilifu katika uhakiki wa Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa kutoa maoni…

Kapinga atangaza fursa za uwekezaji nishati nchini Saudi Arabia

📌Ashiriki Kongamano la Wafanyabiashara na Wawekezaji nchini humo 📌 Zaidi ya Wafanyabiasha na Wawekezaji 250 wakutana 📌 JNHPP yatajwa kuongeza uhakika wa uwepo wa umeme 📍Saudi Arabia Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Kongamano la Wafanyabiashara na Wawekezaji…

CP Wakulyamba : Serikali itaendelea kukipa thamani Chuo cha Likuyu Sekamaganga

Na Mwandishi Wetu,JamuhuriMedia Namtumbo, Songea Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi Benedict Wakulyamba amesema Serikali itaendelea kukipa thamani chuo cha Likuyu Sekamaganga kutoa mafunzo ya uhifadhi wa maliasili ya jamii ili kushiriki…