JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mvua yasababisha vifo vya watu sita, nyumba zaidi ya 25 zaanguka Same

Na Ashrack Miraji,JamhuriMedia, Kilimanjaro Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amesema kuwa mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo zimesababisha madhara makubwa ikiwemo vifo vya watu Sita. Mvua hizo hadi kufikia asubuhi ya Desemba 23, mwaka huu pia zimeharibu…

Kasesela : Mbunge, diwani atakayeshindwa kutetea nafasi yake ajilaumu mwenyewe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Mjumbe wa Halmshauri kuu ya chama cha Mapinduzi (CCM) taifa (MNEC) Richard Kasesela amesema kuwa Mbunge au Diwani atakayeshindwa kutetea nafasi yake ajilaumu mwenyewe kwa kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametekeleza mikubwa kwenye kila…

Gridi za Tanzania, Kenya kuimarisha upatikanaji umeme nchini : Gissima Nyamo-Hanga

📌 Awahimiza wataalamu kusimamia zoezi la kuziunganisha Gridi za Tanzania na Kenya kwa umakini bila kuathiri upatikanaji wa umeme kwenye mfumo wa Gridi ya umeme Nchini 📌 Aeleza faida za Tanzania kufanya biashara katika soko la EAPP na SAPP Mkurugenzi…

Waziri Mkuu wa Slovakia akutana na Putin katika ziara ya kushtukiza mjini Moscow

Waziri Mkuu wa Slovakia Robert Fico amefanya ziara ya kushtukiza mjini Moscow kwa mazungumzo na Vladimir Putin – akiwa ni kiongozi wa tatu pekee wa nchi za Magharibi kukutana na kiongozi huyo wa Urusi tangu uvamizi kamili wa Ukraine miaka…