Category: MCHANGANYIKO
Mali za wakulima zenye thamani ya bilioni 1.4 zakamatwa
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora OPARESHENI maalumu iliyofanywa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama imefanikisha kukamatwa magunia ya kufungia tumbaku maarufu kama majafafa yenye thamani ya zaidi ya sh bil…
Mbunge Mavunde, Taasisi ya Dodoma Legends watembelea Gereza Kuu Isanga Dodoma
▪️Washiriki Bonanza la Michezo na Askari Magereza ▪️Watoa misaada mbalimbali kwa wafungwa ▪️Wafanya ukarabati wa Jiko la chakula kwa Wafungwa wanawake ▪️Jeshi la Magereza lapongezwa kwa matumizi ya Nishati Safi Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dodoma Mbunge wa Jimbo la Dodoma…
Prof. Lipumba atoa ya moyoni kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es salaam Ikiwa imesalia siku kadhaa kumaliza mwaka 2024 Chama Cha Wananchi (CUF) kimemshauri Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha uchaguzi mkuu unaoarajiwa kufanyika mwakani 2025 uwe wa uhuru na wa haki ili kuendelea kulinda na…
‘Imarisheni ulinzi na usalama kwa watoto, ndugu wanaongoza kuwafanyia ukatili’
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amewashauri wazazi/ walezi kuimarisha ulinzi na usalama wa watoto kwani ndugu na jamaa wa karibu ndio wanaongoza kuwafanyia vitendo vya ukatili watoto. Kwa mujibu wa mtandao wake…
Ajali yaua sita wakiwemo walimu wanne
Watu Sita wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, Leo Desemba 28, 2024. Waliopoteza maisha katika ajali hiyo iliyohusisha gari ndogo aina ya Prado ( T 647 CVR ) ni walimu wanne…
Diwani CHADEMA ashikiliwa kwa tuhuma za kuua kwa kumpiga risasi mkulima
ALIYEKUWA Diwani wa Kata ya Bendera wilayani Same mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mwaka 2015-2020, Michael Mcharo (52), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma la mauaji ya Edson Shangari (59), mkulima kwa kumpiga…