JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DC Kyobya : Hairuhusiwi kulima, kuchunga ndani ya Pori la Akiba la Kilombero

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kilombero Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amesema Serikali haitawafumbia macho watu watakaohusika kudhoofisha jitihada za kulinda na kuhifadhi Pori la Akiba Kilombero ambalo ni mahsusi kwa ajili ya kuhifadhi vyanzo vya maji, misitu…

Ukraine: Trump anaweza kumaliza vita na Urusi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema kuwa kutotabirika kwa Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, kunaweza kusaidia kumaliza vita na Urusi. Trump, ambaye anatarajiwa kuapishwa rasmi Januari 20, aliahidi kuumaliza mzozo huo wa muda mrefu wa takriban miaka mitatu ndani…

Polisi Songwe yakemea kuuza na kunywa pombe za kienyeji muda wa kazi

Polisi Kata ya Mlangali Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Robert Asumile Kasunga amekemea kitendo cha wananchi wa kijiji hicho kuuza na kunywa Pombe za kienyeji muda wa kazi na badala yake watumie muda huo kujishughulisha…

Kwa heri 2024; Kiswahili kimezidi kutandawaa – 2

MAADHIMISHO ya Siku ya Kiswahili Duniani (MASIKIDU), yalifanyika Julai 7, 2024 nchini Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na duniani kote ambako lugha ya Kiswahili inazungumzwa. Lengo la maadhimisho haya ni kuitikia mwito wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi…

LATRA yakamata magari 20 kwa kutoza abiria nauli kubwa Tabora

Na Benny Kingson, JamhuriMedia, Tabora. MAMLAKA ya udhibiti usafiri ardhini LATRA Mkoa wa Tabora imeyakamata magari 20 yanayofanya safari kutoka Tabora mjini kwenda wilayani Sikonge kwa kutoza abiria nauli kubwa kupita kiwango kinachotakiwa kisheria kwa madai ya gharama za uendeshaji…

Wawili wahukumiwa kifungo cha maisha jela, wanne miaka 30

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepata mafanikio makubwa kufuatia kuhukumiwa kwa watuhumiwa kadhaa wa makosa ya kikatili ambao mashauri yao yalikuwepo katika Mahakama mbalimbali jijini Dar es Salaam. Kamanda…