Category: MCHANGANYIKO
Makamu wa Rais afungua mkutano wa utalii wa vyakula
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa wadau wa utalii wa vyakula kuwekeza zaidi katika kuandika vitabu vya vyakula vya Kiafrika na machapisho ya kuandaa mapishi ili kuongeza ujuzi na kupunguza…
Dk Biteko awataka Watanzania kutogawanyika wakati wa uchaguzi mkuu
📌 Asema Serikali ya Rais Samia itahakikisha miradi ya maendeleo inagusa wananchi 📌 Aelezea upekee wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 📌 Asema Rais Samia anasema na kutenda Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri…
Serikali yamaliza kero ya wagonjwa kusafirishwa kwenye matenga, baiskeli Namtumbo
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo Wananchi wa vijiji vya Magazini, Sasawala, Amani na Likusanguse wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wameishukuru Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuona umuhimu wa kuwaletea gari la kubebea wagonjwa katika kituo cha afya cha…
Hotuba ya mwisho ya Papa Francis siku ya Pasaka 2025
Siku ya Pasaka, tarehe 20 Aprili 2025, ulimwengu ulisikiliza kwa makini hotuba ya mwisho ya Papa Francis, iliyojulikana kama “Urbi et Orbi” (kwa mji na kwa dunia). Ingawa afya yake ilikuwa dhaifu kutokana na kuugua nimonia, Papa Francis aliweza kuwabariki…