Category: MCHANGANYIKO
Lori laua 11 waliokwenda kutoa msaada kwenye ajali Segera mkoani Tanga
Na Ashrack Miraji,JamhuriMedia, Tanga WATU 11 wamefariki dunia katika Kijiji cha Changโombe kilichopo Kata ya Segera wilayani Handeni mkoani Tanga baada ya kugongwa na lori lililokuwa limebeba saruji baada ya kupoteza uelekeo wakati walipojitokeza barabarani walipokuwa wakishanga ajali ya gari…
DAWASA, wananchi Mshikamano wajadiliana uboreshaji huduma maji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imesema inaendelea na mchakato wa manunuzi ya pampu zitakazosaidia kuongeza ufanisi katika mtambo wa uzalishaji maji Ruvu Juu ambao husambaza maji katika maeneo…
Waandishi na wachapishaji vitabu kukutana kesho Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BODI ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB), imeandaa mkutano wa waandishi na wachapishaji wa vitabu kuhusu Sheria ya amana kwenye maktaba mtandao wa taifa na ununuzi wa vitabu kwa ukuzaji wa soko la…
Megawati 30 za jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/ 2027 – Dk Kazungu
๐ Anadi fursa za uwekezaji miradi ya Jotoardhi Baraza la 15 IRENA ๐ Asema Tanzania ina maeneo 50 yenye vyanzo vya Jotoardhi ๐ Ngozi, Kiejombaka, Songwe na Luhoi yatajwa kuwa miradi ya kimkakati uzalishaji Jotoardhi Abu Dhabi, UAE Imeelezwa kuwa…
Maria Sarungi ahusisha utekaji wake na ukosoaji wa Serikali ya Tanzania
Mwanaharakati maarufu wa Tanzania, Maria Sarungi, amehusisha tukio la kutekwa kwake nchini Kenya na msimamo wake wa kukosoa Serikali ya Tanzania. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Nairobi baada ya kuachiwa huru, Maria alidai kuwa watekaji wake walionyesha nia ya…