Category: MCHANGANYIKO
REA yahamasisha fursa ya mkopo ujenzi wa vituo vidogo vya bidhaa za mafuta vijijini
📌Watanzania watakiwa kuchangamkia ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta ya Dizeli na Petroli Vijijini 📌TAPSOA yaipongeza REA kwa kuhamasisha upatikanaji wa uhakika wa bidhaa za mafuta vijijini kwa usafi na usalama 📍Dar es Salaam Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini…
Ongezeko la mapato Namanga lamkosha Dk Biteko
📌Ailekeza TANESCO kufunga Kituo cha Kupoza Umeme Longido 📌Maelekezo ya Serikali yatekelezwa Longido 📌Amuagiza Makonda kusimamia ufungaji vifaa vya maabara Sekondari ya Longido Samia Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…
Tanzania, Canada kushirikiana kuendeleza sekta ya madini nchini
▪️Balozi wa Canada apongeza mageuzi makubwa ya sekta ya madini ▪️Wachimbaji wadogo kujengewa uwezo wa uchimbaji madini kwa teknolojia ya kisasa ▪️Mafunzo maalum ya uongezaji thamani kuendeshwa kupitia VETA ▪️Waziri Mavunde asisitiza ushirikiano katika utafiti wa kina wa Madini Na…
EWURA yazitaka kampuni za gesi kuongeza mawakala, kudhibiti uchakachuaji wa gesi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za nishati na Maji (EWURA) imezitaka Kampuni za gesi kuongeza idadi ya mawakala wa usambazaji kwenye maeneo mengi ili kuepusha watu kwenda kununua gesi kwa wauzaji wasio rasmi….
Aliyedai kupewa kazi ya kumuua Mpina kortini
Na Mwandishi Wetu, Simiyu Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani binti aliyejitambulisha kwa jina la Pendo Paul Elikana (19) akidaiwa kutoa taarifa za uongo na kuzisambaza katika mitandao ya kijamii. Taarifa iliyotolewa kwa waandishi wa habari na Kamanda…
Vipaumbele vitano Ofisi ya Msajili wa Hazina 2025/26
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi wa taasisi za umma, usimamizi wa rasilimali za umma na kukuza mapato yasiyo…