JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

AJALI: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida Apata Ajali ya Gari

AJALI: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Juma Kilimba amepata ajali ya gari lake kupinduka leo akiwa na familia yake, mke wake na watoto wawili wamepewa rufaa. Yeye bado na watoto wawili bado wako hospital ya Wilaya Kiomboi ambapo mtoto…

Catalonia Yashinda Uchaguzi ya Kutaka Kujitoa na Uhispania

Vyama vinavyounga mkono jimbo la Catalonia kujitenga na Uhispania vimeshinda uchaguzi wa jimbo la Catalonia. Ikiwa kura zote zinakaribia kukamillika kuhesabiwa Katika rekodi ya wapiga idadi ya wapiga kura ambao wamejitokeza vyama hivyo vinaonekana kushinda jambo kimepunguza kidogo idadi ya…

Rais wa Ujerumani Ahimiza Ujenzi Taasisi Imara

Rais wa Ujerumani, Frank- Walter Steinmeir, amehitimisha ziara yake katika bara la Afrika kwa kuhimiza masuala ya demokrasia na maendeleo ya kiuchumi.  Katika ziara yake hiyo, Rais Steinmeir  amehimiza uimarishwaji vita dhidi ya ufisadi  na  mapambano imara juu ya  uhamiaji unaoendelea…

Marekani Kufufua Mazungumzo Kati ya Israel na Palestina

Ikulu ya Marekani inatarajia kuanzisha upya juhudi za kufikiwa  kwa makubaliano ya amani kati ya Israel na Palestina, licha ya uamuzi wa Rais Donald Trump kuitambua Jerusalem kuwa Mji Mkuu wa Israel. Mpango huo wa Marekani unatarajiwa kuja baada ya…

UN Yakutana Kumjadili Trump

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeombwa kuitisha mkutano wa dharura  kujadili hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump  kuuhamisha Ubalozi wa Marekani kutoka Telaviv hadi Jerusalem. Maamuzi hayo yalisababisha maandamano makubwa yaliyosababisha watu 17 kujeruhiwa kwa risasi na…

Wanawake 24 Sudan Hatarini Kucharazwa Viboko 40 Kila Mmoja

Wanawake 24 wa Sudan wameshtakiwa kwa kujivunjia heshima, baada ya kuonekana wamevaa suruali katika karamu moja mjini Khartoum. Karamu hiyo ilivamiwa na polisi wa nidhamu siku ya Jumatano. Suruali zinachukuliwa na wakuu kuwa vazi la utovu wa adabu, na adhabu…