Category: Kimataifa
Rais Samia: Sekta ya kilimo kukua kwa asilimia 10 ifikapo 2030
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya kilimo nchini inatarajiwa kukua kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2030 ukilinganisha na ukuaji wa sasa wa takriban asilimia 3.6. Rais Samia amesema Tanzania imetengeneza fursa za kitaifa kwa ajili…
Rais Samia akizungumza na wawekezaji, wadau wa maendeleo na baadhi ya viongozi wakuu wa Nchi za Afrika nchini Uswizi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wawekezaji, wadau wa maendeleo pamoja na baadhi ya Viongozi Wakuu wa Nchi za Afrika katika Mkutano wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA)uliofanyika Davos nchini Uswizi…
Binadamu mkongwe zaidi afariki dunia
Binadamu mzee zaidi aliyekuwa anashikilia rekodi ya Guinness amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 118. Sista André aliyezaliwa Februari 11, 1904 na kupewa jina la Lucile Randon amekutwa amefariki katika makazi yake yaliyoko mjini Taulon Ufaransa, Reuters imeripoti Msemaji…
Mawaziri wauawa katika ajali ya helikopta Ukraine
Watu 18 wameuawa akiwemo Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ukraine katika ajali ya helikopta iliyotokea nje ya Mji Mkuu wa Kyiv leo. Taarifa ya Mkuu wa Polisi Ukraine, Ihor Klymenko imesema kati ya watu hao waliopoteza maisha wawili ni…