JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Makamba ateta na mabalozi nchini Uingereza

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Waziri wa Nishati January Makamba amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wa nchi za Uingereza na Singapore kwa nyakati tofauti kuhusu ushirikiano baina ya nchi hizo na Tanzania kwenye maeneo mbalimbali ya sekta ya nishati. Mazungumzo hayo…

Balozi Mulamula akutana na mkurugenzi Mkazi wa Shirika la IOM

Na Mwandishi Maalum,JamhuriMedia,Dar Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana na kuzungumza na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) Bw. Maurizio Busatti ambaye amejitambulisha rasmi kwa Mhe. Waziri…

Urusi yalipiza kisasi kwa kuua wanajeshi wa Ukraine

Ukraine imedai kushambulia na kuharibu madaraja na maghala ya silaha pamoja na kuviharibu kabisa vituo vya kuongoza shughuli za kijeshi katika eneo lililokuwa likidhibitiwa na Urusi la Kusini mwa Ukraine. Urusi nayo imesema imelipiza shambulizi hilo la kuuwa wanajeshi kadhaa….

Makamu Rais afanya mazungumzo na balozi wa Singapore

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Mpango leo tarehe 30 Agosti 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Singapore nchini Tanzania Douglas Foo, Mazungumzo yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma. Katika Mazungumzo hayo, Makamu wa Rais…